20PROFF
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 8,217
- 7,255
U mean Le Kopozzz???
Haha, le kopozz
U mean Le Kopozzz???
hakuna aliposema ila kuna mtu alishauri akasema kuwa anunue kokakola nyingi aziweke kwenye friji
Hamu ya muda,baada ya muda fulan hatadai soda,kuna mmoja alikuwa anapenda bagia halafu anaenda kuzila chooni ndo anajisikia raha
Habarini za asubuhi wakuu,
Nipo kwenye mahusiano japo sio rasmi kwa maana si mke wala mchumba, hii ilikuja baada ya kupatikana kwa ujauzito kimakosa baada ya kujisahau kumwagia nje. Stick to the point mti wangu huyu ni mjamzito.
Ujauzito huo umekua kero kwa maana nyingine kwa maana bila soda aina ya Cocacola ndani hakuna amani soda hizi kati ya tatu ama nne kwa siku moja mbaya zaidi hadi usiku wa manane unaamshwa mtu anataka soda.
Hivi ni halali haya mambo
Soda zenyewe ni sumu;
Atakuja kumpa mtoto atakayezaliwa shida tu;
Mshauri apunguze au aache kabisa.