Mimba ya kwanza inanitesa bila soda hatulali

Mimba ya kwanza inanitesa bila soda hatulali

ngoja natarajia kubeba soon
ngoja nichague kati ya redbull au bavaria

haahaha hapo unakura tu hamu imekushika wala sio mimba
Eeh Mola nijalie

hahaaaaaa mweee kila la kher best
 
Mie sista bwana alipoolewa shem akaenda kusoma sasa akaja hom ili awe karibu na maangalizi ya mama.
Jamani tulikoma ivyo vitu tulivyokua tunaambiwa tumpe na kupelekeshwa kutumwa.
Yani mtu msiangalie mpira anasema najiskia vibaya. Sasa mpira unahusianaje na mimba eti??
Aya pafyumu ama bodi spray kujipuliziza ni nje yani hataki kuskia harufu. So tukawa tunatembea nazo au tunaweka kwa rafiki jirani.
Yani ni sheedah.
Tumenunua Mahindi ya kuchoma mpaka tulichoka yan afu om na barabarani mbali yani mhindi.akikosekana mnunuaji.unaagiziwa BodaBoda.
Shikamoo.Mimba.
Naombea wangu aakipata awe anapenda ugali.tu tupunguze matumizi
 
nyie mna uafadhali..kaka yangu ilimlazmu kusafir.. shemej alikuwa anadai matunda pori maarufu kama masuku(mahuku), mbaya zaidi msimu wa matunda yale ukaisha. weeee!!! kaka hasipoyapata ugomv mkubwa. ikabidi atoke aende mkoa jiran
 
bora upate anayependa kula udongo...yaani asubuhi unamwachia tu matofari mawili jioni unakuta kabakiza nusu saaaafi.. hakuna gharama.
 
ahsante kwa ushaur ila yaani kwa ubishi ni namba moja hatashauriki

Usiseme hivyo, yani ukishakumbuka kitu chako unachokitaka ukikosa unaweza upate wazimu. Acha ile kitu kabisa.
 
bora upate anayependa kula udongo...yaani asubuhi unamwachia tu matofari mawili jioni unakuta kabakiza nusu saaaafi.. hakuna gharama.

Du...hayo matofari nayo siyanatengenezwa kwa gharama....bora upate anayekula hewa...
 
Du...hayo matofari nayo siyanatengenezwa kwa gharama....bora upate anayekula hewa...

matofari hata mtaani tu yapo mkuu, nikikosa namchimbia udongo ndoo nzima hapo wiki inaisha bila usimbufu.
 
Mimba ya kwanza nilikuwa nakunywa Pepsi tatu mpk tano Kwa siku plus kutafuna mabarafu hakuna madhara aliyoyapata MTT alipozaliwa

We mshukuru Mungu tu ,lkn hivyo vitu vina madhara makubwa hata baadae huko
 
kumbe anaendana na wangu nae bila pepsi nne kwa siku sio yeye. kuna day nikanunua kreti but hazikumaliza masaa 24 kwishaaa so sa izi nikasema umezidi zisije leta madhara nikakata huduma sasa ndo anajinunulia atakavyo muda mwingine napiga mwnyewe bila ruksa.mbaya zaid anakunywa zinazoelekea kuganda ila nashukuru kuna wadau wamesema hazina madhara. misosi anapenda isiyo n garama ndiz choma mihogo ugali dagaa etc jpo kuna kipnd mpk nikasem sirudii maana kila ck presha hosp mpk icu

Zinazoelekea kuganda?
Yet wamekudanganya hazina madhara?
Muulize gyno atakwambia
 
Eti Mimba ilikuja kwa Bahati mbaya....Wakati unakoja hukujua kwamba unaweza kuota...??? Kwenyeni tu coca....
 
Soda tu unalalamika, je mimba ingetaka savannah si ungemkimbia? Nunua creti la soda muwekee hapo, likiisha unaleta lingine....
appoh

Hivi savannah ni kichwaji gani? nakisikia tu humu ujue, ningeona japo picha yake ingekuwa poa sana, halafu bei yake sh ngapi sijui
 
Coke ya hiyo soda ndo mwanzo wa kuzaa mtoto kichaa
 
Mie sista bwana alipoolewa shem akaenda kusoma sasa akaja hom ili awe karibu na maangalizi ya mama.
Jamani tulikoma ivyo vitu tulivyokua tunaambiwa tumpe na kupelekeshwa kutumwa.
Yani mtu msiangalie mpira anasema najiskia vibaya. Sasa mpira unahusianaje na mimba eti??
Aya pafyumu ama bodi spray kujipuliziza ni nje yani hataki kuskia harufu. So tukawa tunatembea nazo au tunaweka kwa rafiki jirani.
Yani ni sheedah.
Tumenunua Mahindi ya kuchoma mpaka tulichoka yan afu om na barabarani mbali yani mhindi.akikosekana mnunuaji.unaagiziwa BodaBoda.
Shikamoo.Mimba.
Naombea wangu aakipata awe anapenda ugali.tu tupunguze matumizi
teh teh umeongea uhalisia kabisa yan
 
Back
Top Bottom