Mimba ya kwanza inanitesa bila soda hatulali

Mimba ya kwanza inanitesa bila soda hatulali

appoh

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2013
Posts
5,826
Reaction score
3,098
Habarini za asubuhi wakuu,

Nipo kwenye mahusiano japo sio rasmi kwa maana si mke wala mchumba, hii ilikuja baada ya kupatikana kwa ujauzito kimakosa baada ya kujisahau kumwagia nje. Stick to the point mtu wangu huyu ni mjamzito.

Ujauzito huo umekua kero kwa maana nyingine kwa maana bila soda aina ya Cocacola ndani hakuna amani soda hizi kati ya tatu ama nne kwa siku moja mbaya zaidi hadi usiku wa manane unaamshwa mtu anataka soda.

Hivi ni halali haya mambo
 
Palilia tuu c ulipanda!!!! Itikia wito ndugu ukipewa ulee unaeza sema bora yake
 
Soda tu unalalamika, je mimba ingetaka savannah si ungemkimbia? Nunua creti la soda muwekee hapo, likiisha unaleta lingine....

Jirani yangu mimba ya mkewe inataka mzinga wa konyagi kila siku, shida tunayo..
 
Afadhali ye mimba yake inahitaji unavyoweza kuvimudu. Wengine mimba huwa zinawachukia wenzi wao!! Yaani hatamani hata kukuona usoni!
 
Back
Top Bottom