Illuminata Rodgers
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 2,845
- 2,030
Kwan katamka baya gan hapo had useme mchafu mpk kwa mdomo?Kama siyo janaume wewe pole mumeo maana inaonekana utakuwa kimeo, kutamka mijineno michafu bila uoga inatosha kuonesha ulivyo mchafu mpaka mdomoni.
Unaijua mimba or unaitania?Kama unajijua kuwa uko rafu sasa tatizo linakujaje?
tatizo kujitambua,na we we umejitambua, sasa unashindwa nini kujipenda.????
Teh teh teh nywele unaona mzigo mimba ziache tuPole shosti, mimi nakumbuka niliamua kunyoa maana kunisuka ulikua mtihani....ila jitahidi ukiona muda anakaribia kurudi jikwatue umridhishe
njoo data churaNimeshaandaa zile hela nasubiri uniletee zile chura!
basi aendelee kuwa rafuUnaijua mimba or unaitania?
Akili yako ina matatizo, wewe ni kati ya wasichana wajinga wanaofikiri kujiremba na mamakeup usoni ndio kupendeza na kumvutia kimapenzi mwanaume, hujikubali jinsi ulivyoumbwa na mungu, ila wanaume wengi hawapendi hayo maurembo yenu sanasana akiona unajiremba sana anakufanya mchepuko badala ya mke.Tatizo sio kuoga wala kunyoa vuzi, naoga asbh na jioni, tatizo langu cjipendezeshi Kama kuvaa vzr kujikwatua usoni kama wanja poda nk, yaani nipo nipo tu, Na wakt sna ujauzito nilikua n'gali ng'ali yaan alikua ananiita sista du wangu, kwa jinsi ninavyotupia.
Alafu hanionei kinyaa but mm mwenyewe ndo naona noma.
Wanaume wengi wangapi??? Kwanini wasemea wenzio kwasababu wewe hupendi urembo usidhani wote hawapendi. Afu mtoa mada anamuongelea mumewe inaonyesha anapenda urembo shida iko wapi hapo.Akili yako ina matatizo, wewe ni kati ya wasichana wajinga wanaofikiri kujiremba na mamakeup usoni ndio kupendeza na kumvutia kimapenzi mwanaume, hujikubali jinsi ulivyoumbwa na mungu, ila wanaume wengi hawapendi hayo maurembo yenu sanasana akiona unajiremba sana anakufanya mchepuko badala ya mke.
Ndo hvo arelax tu akijfungua atarud kene hal yake kene hyo hal hakuna kujcontrol hata kama unajtambua.basi aendelee kuwa rafu
Nipe tenda ya kunyoa vuziUjiweke smart, inawezekana unavyompa mambo na anakwambia ametosheka huenda urafu wako unamkinaisha. Oga vizur, nyoa vuz, vaa nguo saf na utunze nywele zako vizur kama unaona shida kuchana nenda kanyoe.
NB:Chumba na nyumba kwa ujumla vyaweza vutia kufanya mambo bt ww usimtie ashki kwa urafu ulionao.
Hapana mimba zinatesa jamani, nikifikiria kero nilizopata kwa mtoto wangu huyu wa mwisho yaan mwili unasisimkaTeh teh teh nywele unaona mzigo mimba ziache tu
njoo kama ww ni mwanamke, baada ya kunyoa nikishughulikie hicho "kiboksi manyoya" mpaka uhisi haruf ya nyama choma. kama shoga usije situmiag tigoNipe tenda ya kunyoa vuzi
Hongeranjoo kama ww ni mwanamke, baada ya kunyoa nikishughulikie hicho "kiboksi manyoya" mpaka uhisi haruf ya nyama choma. kama shoga usije situmiag tigo
Sasa tatzo nn kama yy hamaindi. Kuwa hvo hvo ulivyo sasaTatizo sio kuoga wala kunyoa vuzi, naoga asbh na jioni, tatizo langu cjipendezeshi Kama kuvaa vzr kujikwatua usoni kama wanja poda nk, yaani nipo nipo tu, Na wakt sna ujauzito nilikua n'gali ng'ali yaan alikua ananiita sista du wangu, kwa jinsi ninavyotupia.
Alafu hanionei kinyaa but mm mwenyewe ndo naona noma.