Ha ha ha ha ha ha ilikuaje Mkuu? Mimi ilishawahi kunitokea enzi zangu Mkuu, achana kabisa na haya mambo Mkuu.Sikuwah kudhani siku moja nitamruhusu mdada atoe mimba yangu
Mpk pale nilipompa mke wa mtu mimba, alikunywa miso mpk nikakoma .ilikuwa na 1 na siku 5 ila nilipata shida,
Nilitumia njia ya kuchomoa kawaida
Huenda akawa mkuu wa mkoa wa darHapo nakushauri jiandae kwa kununua nepi, mabeseni, na pesa za kulea uzazi tu. No way. Kumbuka kale kanyimbo ka mkenya kanakosema huenda, akawa rais, huenda akawa dkt; anachomuomba mpenzi wake asitoe mimba yake
Kafungue Account kwa ajili ya maandalizi ya Uzazi .Habari wakuu,
Kuna manzi niko kwa kipindi kirefu sana nae jumapili tulikuwa maeneo fulani hapa Tanga tunapiga mechi ya kikubwa, kabla hatujaanza aliniambia kabisa kuwa yupo siku za hatari hivyo nitumie kondom lakini nikakwambia asijali nitamwagia nje.
Utamu ulipokolea nikajikuta nimemwagia ndani sasa leo nikaenda dispensary kupata ushauri, wakaniambia kuna dawa inaitwa masaa 72. Hiyo dawa inatakiwa kutumika ndani ya siku tatu kutoka siku uliposex lakini kwa case yetu ni siku ya tano leo.
Naombeni ushauri wenu wakuu, nifanyaje mapema kabla mambo hayajawa magumu huko mbele.? Ni siku tano mpaka leo
sifia uzinz ww bt msimamo wang ndo huoUsihukumu kabla ya wewe kuhukumiwa.
Kwakweli Mimi si muumini wa kutoa mimba kama yakwako wewe mkuu ingenywewa dawa hizi tungechat nanani hapa JF?Mpe Misoprostol kimoja chini ya ulimi kimoja ukeni alafu mtie ciprofloxacin 500mg 2×1 five days na Metronidazole 250mg 2×3 five days na antpain(PCM) 500mg mpe viwili kila baada ya masaa nane for five days.... Niamini mm icho kijusi akibaki. Nanawa mikoni zambi hii hainihusu.
Alishambiwa maeneo ni hatari akawa kidume sasa anajuta labda atatuletea golden boy mwingine zaidi ya Mbwana SamattaJiandae tu kulea