Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,785
- 28,806
Hongera kwa Mwanaume mwenzangu aliefanikisha shughuli nzima...itifaki imezingatiwa
Achana na huyo jamaa,yani jamaa ana wivu huyo mrembo kapata mtoto. Hongera kwa aliyepiga mashine. Hopeless.Kuna mama humu jf alikuja na uzi akasema ameambiwa kwamba hatoweza kuzaa kabisa..ila baadae akapata mimba na akazaa.
Kuna ndugu yangu alikua anaumwa ini na hospital akaambiwa kwa hatua aliyofikia hatoweza kupona.
Ila akabadili tiba na sasa ni mzima kabisa na viroba anakunywa.
Nadhani hauamini katika kufanya yanayoaminika kwamba hayawezi kufanyika..
Au basi wewe umezoea ubishi.
love thé love or hâte thé love.....
ndo unaambiwa maajabu ya Mungu / Allah ukimwamini nae anatenda
Kama kahangaika kwa muda mrefu kutafuta mtoto hadi kukata tamaa hilo ni jambo jema na la kustajabisha kwa kweliMungu kasema "ukazae uijaze dunia"
Sasa ukizaa kuna ajabu gani hapo!?
Asilimia kubwa ya watu wanaotafuta mtoto hawapendi kushow off pindi wapatapo ujauzito mpaka siku anajifungua, inaelekea ujapenda alivyopata mtoto sio vizuri ndugu yangu mtu akipata neema au baraka flani ni vizuri kuifurahiaMtu ambae hajawahi zaa na watu wanajua kuwa hajazaa apate mimba akae kimya?
Miezi 9. Hivi unadhani mimba ni sawa na mswaki kuwa unaweza uficha mfukoni?
Wenye vibamia hawasababishi ujauzito?Endometriosis si ndio huyu? Kumbe alikuwa anakutana na tubamia hatufiki kuleeee kuunganisha, kapata mkuyenge kakunwa kakojolewa zikatuama shaaa. Next time take care
Asilimia kubwa ya watu wanaotafuta mtoto hawapendi kushow off pindi wapatapo ujauzito mpaka siku anajifungua, inaelekea ujapenda alivyopata mtoto sio vizuri ndugu yangu mtu akipata neema au baraka flani ni vizuri kuifurahia
Sent using Jamii Forums mobile app
mange alishatudokeza siku nyingi tu kwamba dada ni mjamzito....Mtu ambae hajawahi zaa na watu wanajua kuwa hajazaa apate mimba akae kimya?
Miezi 9. Hivi unadhani mimba ni sawa na mswaki kuwa unaweza uficha mfukoni?
Hivi ukiambiwa kitu na daktari ni vibaya kushare na jamii kama inahitajika kufanya hivyo? Unajua ni wangapi wana ilo tatizo ila wameligundua kupitia yeye? Imekuuma sana yeye kuzaa? Duuh haya Mkuu siku njema.Kwanini alidanganya umma kuwa hawezi pata?
Watu walimuonea huruma kumbe alikuwa anadanganya....
Alitumia matatizo yake kuanzisha foundation kumbe mjanja anataka ale hela za watu
Sayansi inaleta vitu vipya kila siku. Hata kupandikiza mbegu siku hizi sio ishu sana
uliambiwa wenye vibamia hawazalishi,hii science ya wapi?Endometriosis si ndio huyu? Kumbe alikuwa anakutana na tubamia hatufiki kuleeee kuunganisha, kapata mkuyenge kakunwa kakojolewa zikatuama shaaa. Next time take care
atakuwa amefanya in vitro fertilization kwasababu kuna jamaa ameweka picha enzi za ujauzito!Watanzania wengi ni kama hawana akili, hata ukiwadanganya watajitokeza na kusema hongera, na kuna uwezekano mkubwa san akuwa huwa hawasomi kinacho andikwa kwenye makala husika ila baada ya kuona wenzao wanasifia na wao pia wanasifia.
Huyu mdada aliwahi sema kuwa hana uwezo wa kuzaa, na keshafanyiwa operations zaidi ya mara 3 kuhusiana na hilo tatizo.
Huyu atakuwa kapata mtoto kupitia surrogate mothers
atakuwa amefanya in vitro fertilization kwasababu kuna jamaa ameweka picha enzi za ujauzito!
huyu mama kwenye interviews zake alikuwa akisema hataweza kupata mimba kwa njia ya kawaida ila anaweza kuzaa kwa IVF au kutumia surrogate mother. na alisema kabisa kuna mayai yake yalishatolewa na kuhifadhiwa laboratory, kuna uwezekana kuwa ametumia ivf kufanikisha hitajio lake!Mbona kuna kipindi alisema ni mgumba... Kweli Mungu atakuwa katenda miujiza...
Happiness Magese, Kutopata mtoto sababu ya matatizo ya endometriosis
ila ukifuatilia vizuri interviews zake hakusema hawezi kuzaa kabisa, alikuwa akisema hawezi kupata ujauzito kwa njia ya kawaida. aliongea anaweza kuzaa kwa in vitro au surrogate mother, naona yeye amechagua hiyo ya kwanza!kama ni hivyo ni sawa ila watu hawataki hata kuuliza mbona huyu alituaminisha kuwa hawezi zaa kabisa