Millard Ayo Unaboa Kinoma

Mkuu hivyo vipindi ulivyovimention ni vitatu au zaid ya vitatu?
 
Njooni kwenye Hatua 3 za maryam kitosi & junior
Upate habari ndio hii
 
Huyo milard alishapewa ushaur arud shule,sasa form 4 yake inaanza kuonekana!!!
 
Ni lini kuliwahi kuwa na beef kati ya Wanigeria na Wabongo?

Yani huo ujinga wenu wa Instagram ndio mnataka kuingiza jina la nchi? Kwa nini usiseme tu ni Diamond na wapambe wake?


View attachment 212137
Fredrick Samuel.?
hawa wazee wetu wanauliza Mbona toka umeondoka nyumbani mpaka leo Zile pesa hujarudisha?
Hujui km Umetuacha na hali ngumu sana kuondoka na mtaji wote wa mzee?
Nimeamua kuweka Picha kabisa ili labda roho yako Irudi fredrick.
Halafu unaamua kujiita Matola kwa nini?


We unafahamu Mama kahifadhiwa tu na huyu bwana. Na hali yakw inakuwa mbaya Kila siku Unavyozidi kuchelewa kuzirudisha hizo pesa.

Naskia Unakula Mirungi kila siku na Kina FAHMI mwarabu .
Mimi km ni ndugu yako nakuomba rudisha huo mtaji wa baba wa shs 600,000 uliokwiba. Maisha yanazidi kuwa magumu mno hapa nyumbani.
Nakuomba sana.
Halafu mwanao SAMIRA umemuacha hapa Sinza hana hata ada ya shule. Umezaa na mwanamke mitaani hata hajulikani mamake yuko wapi. Na juu ya kuwa mwanao yuko hapa lkn pesa umeondoka nazo.


Wako kakako mpendwa Samuel
 
Last edited by a moderator:
senzi kabisa unakuta tangazo la dakika moja, likiisha mtangazaji anaanza kulichombeza dakika tatu
 
Mimi asubuh nikiamka najiunga na radio washirika kusikiza BBC, baada ya hapo najiunga Magic fm kusikiza morning magic akina orest kawau. Nikitoka kazini nasikiza sundown. Clouds nasikiliza sports extra japo siku hizi shafii dauda nae hata Cristiano Ronaldo akijamba lazma aje kumsifu!!
 

Hii nini tena...
 
Last edited by a moderator:
Whaaat??? Mtu wangu wa nguvu kafanyaje kwani
 

Sasa Kama Utamu Wa KUGEGEDWA Nae Umemkolea Wewe Unategemea Afanyeje? Diamond Noma...........!
 

Naona uliwatachi sana, vikawauma, wakaona wakujengee majungu, udumu babaa "Millard"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…