and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 28,233
- 39,718
I doubt. Mbona rumours zilizopo ni tofauti na hiyo?Romours, Ayo ni msiri sana, huko anachapa tu na kupita
I doubt. Mbona rumours zilizopo ni tofauti na hiyo?Romours, Ayo ni msiri sana, huko anachapa tu na kupita
hajapiga shimo pale, dogo hana makuuI doubt. Mbona rumours zilizopo ni today na hiyo?
Aiseewakiongozwa na juma lokole na hansy mtanashati[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwakweli tunaogopa hata kuwapa ma'binti zetu, lakini sasa walau hata wavulana wa mkoani wanalia lia, juzi umeona mbunge lijulikali analia lia mbele ya mkwe wake na madam Mdee na Bulaya, yaani sikuhizi mwanao wa kike akipata jidume shababi shukuru Mungu, tusali sana mabinti zetu wapate wanaume na si vijivulana kama akina lijulikali, juma lokole na webill nass, whozuuwakiongozwa na juma lokole na hansy mtanashati[emoji23][emoji23][emoji23]