Echolima1
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,930
- 6,030
wakati Iran inahangaika na milipuko ya moto huko Bandar Abbas usiku wa kuamkia leo mjini Tehran kumę tokena milipuko miwili mikubwa ya moto chanzo cha milipuko hiyo bado haijajulikana moto unaendelea kuteketeza maeneo humo mjini.
“My take” Hizi ni MAUA za rasha-rasha mvua za Masiaka bado!!!
“My take” Hizi ni MAUA za rasha-rasha mvua za Masiaka bado!!!