Hauoni wewe ndio umefaidika hapa kupata habari?Wewe ndo unakuwa wa kwanza kupata habari za mambo ya Iran???
Una faidika nini??
Hauoni wewe ndio umefaidika hapa kupata habari?Wewe ndo unakuwa wa kwanza kupata habari za mambo ya Iran???
Una faidika nini??
Tuwe wakweli tu. Unaonaje tukio kama hili lingetokea nchini Marekani halafu ikaripotiwa humu ni kwa kiasi gani ungemsifia mleta mada.Wewe ndo unakuwa wa kwanza kupata habari za mambo ya Iran???
Una faidika nini??
wakati Iran inahangaika na milipuko ya moto huko Bandar Abbas usiku wa kuamkia leo mjini Tehran kumę tokena milipuko miwili mikubwa ya moto chanzo cha milipuko hiyo bado haijajulikana moto unaendelea kuteketeza maeneo humo mjini.
“My take” Hizi ni MAUA za rasha-rasha mvua za Masiaka bado!!!
View attachment 3318239
View attachment 3318240
Kwaiyo ISRAELI imefikia Level ya kuwa MAGAIDI mbele ya Iran kwali ili taifa teule la mchongo imefikia kung,ata Badala ya kurusha ngumu kwa manaume mwenzie!!!!! Aibu kubwa kwa Jehova na walokole wa kiboshowakati Iran inahangaika na milipuko ya moto huko Bandar Abbas usiku wa kuamkia leo mjini Tehran kumę tokena milipuko miwili mikubwa ya moto chanzo cha milipuko hiyo bado haijajulikana moto unaendelea kuteketeza maeneo humo mjini.
“My take” Hizi ni MAUA za rasha-rasha mvua za Masiaka bado!!!
View attachment 3318239
View attachment 3318240
Tumejua ni marekani na sio mtu mwingine,ni vita vya wamarekani.Na mpaka mtaita maji ma..... Mkumbuke pia Marekani ameshasogeza madude fulani kule baharini, jifanyeni kama mnajikuna, si huwa mnasema hamuogopi kufa kwamba kule kuna mabikira...
Labda wanasafisha mji kwa kuchomwa takataka.wakati Iran inahangaika na milipuko ya moto huko Bandar Abbas usiku wa kuamkia leo mjini Tehran kumę tokena milipuko miwili mikubwa ya moto chanzo cha milipuko hiyo bado haijajulikana moto unaendelea kuteketeza maeneo humo mjini.
“My take” Hizi ni MAUA za rasha-rasha mvua za Masiaka bado!!!
View attachment 3318239
View attachment 3318240
Na wewe umekuwa wa pili kusoma habari za lran unawashwa au upwiru unakusumbua kudakia dakia kila habari?Wewe ndo unakuwa wa kwanza kupata habari za mambo ya Iran???
Una faidika nini??
Wewe mfatilie mtoa mada huwa anapost mada gani daily???Tuwe wakweli tu. Unaonaje tukio kama hili lingetokea nchini Marekani halafu ikaripotiwa humu ni kwa kiasi gani ungemsifia mleta mada.