Ohoo, kama ni mabomu tena yanaripuka itabidi tufanye haraka tukavamie Ka-malawi ili tutumie stock yote ya zamani. Vinginevyo hao ma warehouse manager wa jeshi wawajibishwe ikiwa tu waliwahi kufundishwa principles of warehouse management. La sivyo haya yatakuwa ni madhara ya rushwa na undugunization kuwekana kwenye nafasi bila kuwa na vigezo. Tunasubiri news zaidi mkuu