Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Rais wa Kampuni ya RBP Oil & Industial Technology (T)Ltd ,Mama Rahma Al Kharous katikati akizungumza na wanahabari leo juu ya udhamini wake wa shilingi mil. 30 kwa ajili ya ukarabati wa msikiti wa Al - Auwariyya uliopo eneo la Gongoni,Bagamoyo.
Source: Michuzi
Tunakushukuru sana mama Rahma Al Kharous, ila wakati mwingine toa michango ya kujenga shule na hospital.
Tunakushukuru sana mama Rahma Al Kharous, ila wakati mwingine toa michango ya kujenga shule na hospital.