We post ya mwaka 2012 ndio unaijibu leo.uwoga wenu ndiyo unawapa shida.....toa hela hizo katika ac yako....si wamukuingizia wenyewe
Kwa mujibu wa sheria za kibenki,makosa yafanywayo na benki hayambani mteja. Hayo ni makosa ya benki. Hupaswi kuogopa. Toa hizo pesa na uzitumie. Utajuta kuziachaacha pesa za bure
We post ya mwaka 2012 ndio unaijibu leo.
Viroba na Maharage lazima utajambia mdomoni.
Blue wednesday hiyoooooooooooo
chukua hizo pesa kisheria huna hatia..negligence inahamia kwa upande wa benki wenyewe...wanachoweza kufanya benki ni ku recovery hiyo pesa kwa njia ya kukukata kila unapoweka pesa mpaka warudishe pesa zao but there is no way waka kuincriminated trust me.niliwahi kumuuliza one of the Prof N. N. NDITI ambaye ni taalam wa mambo ya sheria za benki na hilo ndo lilikuwa jibu lake...even banks make mistake,and Loss!so ni burden kwao.
nimekutumia mimi hizo ni zakwako chukua. nitakutafuta tuzungumzeHabari zenu ndugu zangu, nimeacha pesa kidogo sana kwenye
Account yangu ya NMB. (2,356,700) Nimeenda kuangalia salio
nimekuta 52,356,700.
Je naweza kuchukua hizi pesa na nisishitakiwe?
kama nitashitakiwa kuna uwezekano wa kushinda kesi?
Tafadhali naombeni maelezo haraka iwezekanavyo.
NB kwenye heading ni (50,000,000)
Naona kapotea hatupi tena mrejesho kama mzigo ndo upo au lah....!
Atakua lupango.. kunawatu walimshauri vibaya humu na akawafuata
Na hivyo ni viroba kweli, umeona amejibu saa ngapi, saa nane usiku.We post ya mwaka 2012 ndio unaijibu leo.
Viroba na Maharage lazima utajambia mdomoni.
Blue wednesday hiyoooooooooooo
mkuu sijui nikushauri nini ila ngoja nikupe mfano kidogo. Kuna rafiki yangu aliwahi kukuta mil 12 kwenye account yake. Naye bila kuchelewa akaitoa na kuitumia then akaachana na hiyo akaunti.
Kumbe ile ela iliingia kwake kimakosa baadae akawa hunted na kukamatwa kwa kosa la cyber crime. Japo mwisho alikuja kuachiwa lakini alikuwa kawekwa ndani kwa week mbili na aliachiwa kwa kurudisha nusu ya ile ela na kuhonga honga sana.
So akili kumkichwa linaweza kuwa ni zali au inawezekana ni shari pia.
Habari zenu ndugu zangu, nimeacha pesa kidogo sana kwenye
Account yangu ya NMB. (2,356,700) Nimeenda kuangalia salio
nimekuta 52,356,700.
Je naweza kuchukua hizi pesa na nisishitakiwe?
kama nitashitakiwa kuna uwezekano wa kushinda kesi?
Tafadhali naombeni maelezo haraka iwezekanavyo.
NB kwenye heading ni (50,000,000)
But in that case rightfull owner hakuwa identified.
Na je kama hakuna ambaye anapata hasara ya hio kitu je utakua na uhalali wa hio hela? Mfano nimechukua hela iliyoko insured na huyo mtu akarudishiwa hela na insurance company na maisha yakaendelea nini tatizo hapo?
Na hivyo ni viroba kweli, umeona amejibu saa ngapi, saa nane usiku.
daaaah kweli mwaka mgumu huu watu wana ugwadu na pesa hadi wameibua opost ya zamani :A S-eek: