Natofautiana kabisa na wewe, tusipende kila kitu kukihusisha na ufisadi itafika mahala watawala watazoea malalamiko yetu na wasiyafanyie kazi. Mimi nilidhania ingekuwa vema ungekuja na data kamili za ujenzi wa hivyo vioo then tujadiri, kwasababu milioni70 zaweza kuwa zilitumika sahihi tuu lakini kwasababu huna data nzuri hoja yako haijadiriki. Na suala la kwamba umejenga nyumba ya vyumba vinne hujatumia milioni30 ndipo nimeanzia kuwa na mashaka na hoja yako. Mimi binafsi nina kibanda changu cha vyumba vinne kama wewe Total cost so far ni Milioni57(Under serious control) haijaisha kama nitakavyo japo naishi humo.
To me Tshs Milioni70 zaweza kujenga hata choo kimoja tuu itategemeana na choo chenyewe.
mzima kweli wewe!hapana wakupima,