Namungula Jr
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 221
- 63
Wabongo wengine tumezidi kuchunguzana. Mtu humjui, huijui hiyo gari yake ina engine gani au anafanya ma experiment gani, ushampangia mafuta ya kuweka.
Do you, unaweza kushangaa mtu hajaweka mafuta ya kutosha kumbe wewe ndo hujaweka akili ya kutosha.
Halafu tunarudi kulekule kwenye simplification ya kwamba ukiwa na hela mafuta si issue, smart is the new rich, kuna wengine wanataka gari lenye fuel efficiency kupunguza stops za kujaza mafuta tu, wengine wanajali mazingira maana kila wanaposoma dunia inapoenda ndo wanapojisikia responsibility kuwa custodians of the earth etc.
Kuna mitaa mingine ya ma tree huggers ukienda na mgari wako wa ajabu ajabu sijui m-Hummer huko watu wanali praypaint au kuliscratch kwa hasira zao.
Sie tumekalia simplifications ya "kila kitu jibu lake pesa" wakati kuna mabilionea wanazima taa kila wanapotoka chumbani si kwa sababu hawawezi kulipa bili ya umeme wakiacha taa, bali kwa sababu wanajali mazingira.
Majibu ya kutia moyo haya....kila mtu anatamani kutembelea Evoque,BMW etc bwana tuwe wakweli ndio njia pekee ya kutiana moyo km sio mimi ni wewe utafikia lengo.
Halafu I am smart enough not to buy such depreciating assets brand new.
May end up buying one for a lucky girl, this way I have access to it but I don't have it
..lol!Kila mtu?
Hata Ganesh?
May end up buying one for a lucky girl, this way I have access to it but I don't have it
Wabongo wengine tumezidi kuchunguzana. Mtu humjui, huijui hiyo gari yake ina engine gani au anafanya ma experiment gani, ushampangia mafuta ya kuweka.
Do you, unaweza kushangaa mtu hajaweka mafuta ya kutosha kumbe wewe ndo hujaweka akili ya kutosha.
Halafu tunarudi kulekule kwenye simplification ya kwamba ukiwa na hela mafuta si issue, smart is the new rich, kuna wengine wanataka gari lenye fuel efficiency kupunguza stops za kujaza mafuta tu, wengine wanajali mazingira maana kila wanaposoma dunia inapoenda ndo wanapojisikia responsibility kuwa custodians of the earth etc.
Kuna mitaa mingine ya ma tree huggers ukienda na mgari wako wa ajabu ajabu sijui m-Hummer huko watu wanali praypaint au kuliscratch kwa hasira zao.
Sie tumekalia simplifications ya "kila kitu jibu lake pesa" wakati kuna mabilionea wanazima taa kila wanapotoka chumbani si kwa sababu hawawezi kulipa bili ya umeme wakiacha taa, bali kwa sababu wanajali mazingira.
Hehehe, Mkuu Kivitz Nimetolea mfano tu kaka.. Mi siendieshi Hiyo Kitu kaka... hahaha nimejikakamua kidogo nipo kwenye Xtrail... Na Najitahidi Kujaza tank, Na likifika Nusu Narefill tena... Kwasababu najua Mafuta Yanatumiza zaidi yakiwa Nusu Tank kwenda chini.. Yakiwa Over Half hata consumption yake inakuwa safi tu.Ni kweli wabongo tunatatizo hilo, improper utilization of resources! lakini pia kipenda roho kaka, anayejua uchungu au raha ni yule anayeliendesha mwingine wa pembeni yatawaumiza kichwa. Hata hiyo vitz unayoendesha huenda hauitendei haki kuiwekea kiwese cha elf10, ni heri uendeshe pikipiki, na pikipiki kama unaweka kiwese cha elf5 bora ununue baiskeli!
Wacha watu wajipe raha kaka, kama wewe unamezea mate lakini uwezzo wa kuliingiza bongo unakuwa mgumu ni bora ukae kiiimya!
Wakuu poleni na majukumu, nina swali kidogo hivi kwa mil 60 ninaweza kuagiza range rover sport from uk...? Nikimaanisha mpaka kulipia kodi kila kitu.....inaweza kutosha ?......nisaidieni wakuu
Wakuu nashukuru kwa ushauri wenu, nimeona watu wengi wananidiscourage nisichukue range rover sport, na kuna watu wawili wanayo wameniambia kwamba yana matatizo kwenye brake system na air suspension,,,sasa nimeona wakati nakokotoa mambo nivute land cruiser vx 2003 amazon, diesel, yenyewe bei yake na usafiri ni paundi 8000....sasa sijui kodi itaendaje roughly ?
Here we go; let us get some facts:
Suppose unataka RRS ambayo ni Diesel ambayo haitakula mafuta sana lakini pia iko katika hali nzuri:
Land Rover Range Rover Sport 2.7 TDV6 HSE 5DR AUTO LEFT HAND DRIVE; £13,974;2006 (06 reg), 4x4
Ukishanunua UK (Autotrader: Auto Trader UK) shipping na gharama ndogo ndogo ni kama GPB 1300.
Ikifika DSM TRA of course wanakusubiri na hawana huruma. Kwa formula yao mpya hawaangalii thamani ya gari, wanafanya calculation ya Depreciation. So hii ya Mwaka 2006 wataivalue GBP 22,000 japokuwa umenunua GPB 14,000 na haina mjadala.
Kulipa Tax; Storage; ni kama 55% ya thamani waliyofanyia assesment: that means 55% ya GPB 22,000 ambayo ni sawa na GPB 12,1000.
So mpaka gari inatoka bandarini utakuwa umetumia: GPB 14,000 uliyonunulia + GPB 12,1000 uliyonunulia: sawa na GBP 26,100. Kwa BoT Exchange rate ya 2530 ina maana thamani yake ni TZS 66,033,000.
Ukiweka insurance Comprehensive ni kama TZS 2.5 Million + Service ya kwanza ya nguvu kuipiga soap sopa nakadhalika weka kam TZS 70 Million.
So, next time ukimwona jamaa ana RRS na hajajachakachua chochote i.e tafadhalie Mwamkie Shikamoo!! Mpe heshima yake.
Of course ukinunua hapa DSM kwenye Show Rooms zinaanzia TZS 100 Million. Ukipata kwa mtu binafsi ataanzia Million 80 unless kama imemshinda.
Kuhusu ulaji wa mafuta, of course kuku anakula sawa na mdomo wake! RRS Diesel zina capacity ya 2700 CC lakini Petrol zina CC kuanzia 4200 CC. So muziki wa Petrol ni mkubwa kuliko Diesel.
This is the most latest information!