Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,011
- 104,718
Pole kaka, kama una pesa ya kutosha achana na Sport, kamata Evoque, pamoja na kuwa bei ghali lakini ni more economical kwenye upande wa wese! Last year nlikuwa na machungu sana na RR, Mdogowangu ndy aliyentia hasira na mimi nikawaza kujitutumua, akaniambia nichukue lake nikae nalo mwezi mmoja ndiyo nifanye decision, ile kitu inakunywa mafuta kama jini! 60M utapata ya mkononi lakini iko safi tu, sema tukuunganishe.
Evoque is the future of RR, and all SUVs, what with carbon emissions and the energy crisis.
You are talking about the difference between a 2300cc engine ( Evoque) and probably 5000cc for most other late model RRs.
If you don't need the big engine, e.g you live in a city, even if you can afford the cost, it is irresponsible from an environmental point of view to go with the behemoth of 5000cc.
We had a Vogue 4000cc in the 90s, and I can testify the fuel efficiency was a headache not worth the prestige.
I am leaning towards an Evoque myself.