Namungula Jr
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 221
- 63
Wabongo wengine tumezidi kuchunguzana. Mtu humjui, huijui hiyo gari yake ina engine gani au anafanya ma experiment gani, ushampangia mafuta ya kuweka.
Do you, unaweza kushangaa mtu hajaweka mafuta ya kutosha kumbe wewe ndo hujaweka akili ya kutosha.
Halafu tunarudi kulekule kwenye simplification ya kwamba ukiwa na hela mafuta si issue, smart is the new rich, kuna wengine wanataka gari lenye fuel efficiency kupunguza stops za kujaza mafuta tu, wengine wanajali mazingira maana kila wanaposoma dunia inapoenda ndo wanapojisikia responsibility kuwa custodians of the earth etc.
Kuna mitaa mingine ya ma tree huggers ukienda na mgari wako wa ajabu ajabu sijui m-Hummer huko watu wanali praypaint au kuliscratch kwa hasira zao.
Sie tumekalia simplifications ya "kila kitu jibu lake pesa" wakati kuna mabilionea wanazima taa kila wanapotoka chumbani si kwa sababu hawawezi kulipa bili ya umeme wakiacha taa, bali kwa sababu wanajali mazingira.
Majibu ya kutia moyo haya....kila mtu anatamani kutembelea Evoque,BMW etc bwana tuwe wakweli ndio njia pekee ya kutiana moyo km sio mimi ni wewe utafikia lengo.