Priceless soul
JF-Expert Member
- Jul 4, 2017
- 1,484
- 1,727
FOREX?Hiyo 3m wekeza tu kwenye nyumba alafu 1.5m unipe Mimi..upate faida ya 5m kwa miezi miwili tu..
FOREX?Hiyo 3m wekeza tu kwenye nyumba alafu 1.5m unipe Mimi..upate faida ya 5m kwa miezi miwili tu..
NoFOREX?
Inaweza fika 1m..tukiwa serious na biashara
Asante kwa ushauri mzur mkuuFanya finishing mkuu.. mwisho wa siku utakuwa na Nyumba yako inaonekana safi .. hata ukapangisha au kadhalika.
Duh unaifanyaje mkuuFanya kunipa mimi iyo hela .nkupe boda boda 2 na nku fanyie fishing nyumba yako, fursa hadimu na bahati ii ni PM tumalize kazi ..
Znapatkana wap mkuu na zmetumika kwa mda gan2.5 unapata boda boda mbili zenye hali nzuri kabisa hiyo 2m nyngne weka kwnye nyumba
Shukran mkuuWekeza kwenye nyumba
Shukran mkuu ushauri mzuri aiseeNyumb, nyumba, nyumba.
Achana na bodaboda.
Salute mkuu japoBoda boda inaweza ikakuvunja miguu tu ukaishia kujuta na kukosa uwezo hata wa kujenga hio nyumba. Malizia nyumba kwanza,
Asante mkuu ushauri mzuri aiseeShika Moja fanya moja, Malizia nyumba kwanza utapata utulivu wa akili HUWEZI kufa njaa maana nyumba huongeza uaminifu kwa Jamii.
Ukienda bodaboda ukapata ajali ya miguu utaanzaa KULIALIA n'gombe wa maskini hazai kumbe wenge lako mwenyewe.
Unauhalika?
Asante mkuu ushauri mrua sanaFanya Finishing Kausha zako,ukipata hela haina kazi
Yani hata kama ikatokea umeziweka mahali ukaja ukakuta
Mchwa wamezila roho haitokuuma ndio ununulie boda boda hy hela.
Ila kwa sasa hivi kwakua macho akili roho damu zipo kwenye hyo 4.5 basi fanya finishing.
Asante mkuu ushauri mrua sanaFanya Finishing Kausha zako,ukipata hela haina kazi
Yani hata kama ikatokea umeziweka mahali ukaja ukakuta
Mchwa wamezila roho haitokuuma ndio ununulie boda boda hy hela.
Ila kwa sasa hivi kwakua macho akili roho damu zipo kwenye hyo 4.5 basi fanya finishing.
Npe mchanganuo mkuuHiyo 3m wekeza tu kwenye nyumba alafu 1.5m unipe Mimi..upate faida ya 5m kwa miezi miwili tu..
Unauhalika?
Asante mkuu ushauri mzuriNunua bodaboda Moja, nyingine weka Benji ndani ya miezi miwwili utakuwa ushapata hela hiyo ulionunulia kama utakuwa unaendesha mwenyewe na kuweka nguvu kwenye kazi yako ya bodaboda Huku ukiwa mbahili WA kiwango cha lami
Aisee vp kipato chake mkuu na kwann hutak kuongeza nyingneKama huja uzoefu na biashara ya boda boda acha kabisa usibeti huko.
Nina uzoefu wa nwaka mmoja sasa nilianza na boda 2 nikiwa na lengo la kuongeza 2 ziwe 4 ila tokea mwaka jana sijaongeza hata nikiokota hela siongezi boda.
Business model ya boda boda ngumu la sivyo uendeshe mwenyewe.