mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,792
Hata huku maeneo ya Mbweni milio hiyo imesikika.Nasilica milio ya mabomu eneo la Kimara isije ikawa Yale ya gongo la mboto na mbagala
Mabomu kama Sita hivi ,kwa wakazi wa Dar mmesiakia
Sent using Jamii Forums mobile app
JenelariHata huku maeneo ya Mbweni milio hiyo imesikika.
Huko Kimara kuna mazishi ya Brigedia Jenelari Augustino Ramadan!


MAZIKO YA BRIGADIA JENERALI, JAJI MKUU, MCHUNGAJI AGUSTINO RAMADHANI kwenye makaburi ya familia Kimara.Nasilica milio ya mabomu eneo la Kimara isije ikawa Yale ya gongo la mboto na mbagala
Mabomu kama Sita hivi ,kwa wakazi wa Dar mmesiakia
Sent using Jamii Forums mobile app
Una hatari sana yaani hako kamguu wa kuku kakapambane na Boma hata watalaam wanakuambia kama una kamguu wa kuku ukaona wazee wapo nje na smg unashauriwa kafiche kabisa wasikaone halafu ujisalimishemimi nipo mbezi nimesikia hii kitu nimetoka na mguu wa kuku wangu
nikajua nchi imewaka ilikuwa kwa self defence mitaaniUna hatari sana yaani hako kamguu wa kuku kakapambane na Boma hata watalaam wanakuambia kama una kamguu wa kuku ukaona wazee wapo nje na smg unashauriwa kafiche kabisa wasikaone halafu ujisalimishe