perfect hunter
Senior Member
- Jul 12, 2015
- 153
- 93
Hahhahaha hapo kashajiwekeza uQ.S
Hahhahaha hapo kashajiwekeza uQ.S
Watanzania sisi shida sana 30m/50m anayo??
Karibu ofisini mkuu ukiwa kama mteja wetu unahaki ya kukagua material zitakazotumika kujengea nyumba yako wew unajiuliza kwa nini garama ni ndogo hii ni kwa sababu kampuni ina shamba la mbao, inakiwanda kidogo cha kutengeneza mabati, ina mashine za kisasa za kufyatulia matofali na vingine ndo maana waona garama zetu ni rafiki karibu sanaHapo Tatizo kwenye kutoa Cash 16,000,000/=
Mkuu tuwekee Mchanganuo wa mahesabu tofari za ujazo gani? Za aina gani na cement mfuko mmoja unatoa tofari ngapi? bei ya kokoto,Mchanga,Nondo ukubwa na idadi, na ni kiasi gani hutumika bei ya kuchimba shimo la vyoo n.k kenchi mbao ngapi na ngapi zitatumika... Bei ya wire, Mabomba ya Maji,Sink za kunawia,Kujisaidia na kuogea, Rangi gani unatumia kupendezesha nyumba, na uzio tofari ngapi na hizo hapo chini vigae visivyo tereza uwanjani, Vigae tereza vya ndani ya nyumba,Ceiling unatumia nini na kama pia kuna ceiling fan au full house ventilation system isiyotumia exhaust fan moja au mbili n.k Tujue kama bei inaendana au vipi maana makonctractor Mnamvyomfanyia Magufuli acha tu hadi uhakiki halisi wa bei ufanyike... pesa ngumu kupotea kirahisi
Njoo whatsap kwa no 0763772636Mkuu ..km nataka ku custom nyumba iwe na room 4 zote self..vbalaza 2 meaning cha mbele na jikon..plus kuwe na underground room 1..itakuaje price ??
Nina mashaka na quality za materials watakazotumia.Asante sana...namuona Kelvin Isaya kwa darubini za Afande Sele kwa mbaliii...Cheap is always expensive... That is the nature
Ukikuta mtu analalamika sanaa ujue mfukoni hali sio nzuri, wengine wakiwa ktk hali hiyo huwa wanakuwa wakali sanaaaa, kama mbogo aliyejeruhiwaWatanzania sisi shida sana 30m/50m anayo??
hapo sawa sababu nimetafakari kule napo fanya yangu jinsi pesa inavyoenda duh.. nitakutafuta unijengee za kupangishaKiwanja not included kiwanja ni chako sisi ni ujenz karibu sana
Karibu sana mpenz tena kama una kiwanja kikubwa nakushauri jenga hizi za mil 32 uwe na kijiji chako upangishe utakula hela hadi wakuone fisadihapo sawa sababu nimetafakari kule napo fanya yangu jinsi pesa inavyoenda duh.. nitakutafuta unijengee za kupangisha
Mil 50 nusu yake mil 25 karibuYenye vyumba vitatu bei gani nusu yake,vyumba viine pia nusu yake sh ngapi
Asante mkuu wanishauri katika nini mkuu naomba unifafanulie ili nijue mapungufu asante
Aisee! Idea nzuri ila jipange kwanza! Tafuta wataalam wakushauri na kukupa mwongozo!
Hiyo website mbona "not available?"Habari wakuu one2onefocus limited ni kampuni inayojihusisha na maswala ya kujengea wateja nyumba kwa bei rafiki kabisa zaidi ya yote unaweza kufanya malipo kidogo kidogo bila riba yeyote
Mfano nyumba ya Vyumba viwili vikubwa na self, sebule, jiko, store,jiko, dining room na choo cha public ni shiling milion 32 sasa wewe unaweza kutulipa asilimia 50% ya bei husika yaani mil 16 halafu sisi tutajenga nyumba yako yote baada ya hapo tunakuita kuja kuhakiki ukiridhika utamalizia hizo mil 16 zilizobakia taratibu bila riba yoyote ukimaliza kulipia tutakukabidhi nyumba yako na itakuwa chini ya uangalizi wetu kwa miaka mitatu chochote kitakachoharibika kitafanyiwa marekebisho bure na kampuni kwa Maelezo zaidi na sample za kazi zetu tembelea www.one2one.com pia waweza kunipigia kwa namba 0763772636 au 0789047874 au waweza kunichek WhatsApp kwa 0763772636 karibuni sana milki Nyumba yako sasa
View attachment 472851View attachment 472852View attachment 472853View attachment 472854
Usiwe na mashaka bosi maana kwenye ujenz utashirikishwa kila kitu hadi material tunazotumia kukujengea na utaruhusiwa kuona wakati zikiezekwa na kuzikagua hofu ondoa ata ukitaka kufika site ruksa kabisaNina mashaka na quality za materials watakazotumia.
ngoja nijichange tenaKaribu sana mpenz tena kama una kiwanja kikubwa nakushauri jenga hizi za mil 32 uwe na kijiji chako upangishe utakula hela hadi wakuone fisadi
Akili yako inawaza mbali mkuu Mungu azidi kukufunua naona umeweza kutusoma kwa harakaWanataka kuipiku National Housing Corp..
Wazo zuri,mi mwenyewe nilitamani sana kudeal na Real estate bussines,
very good business
www.one2onefocus.Com ipo mkuuHiyo website mbona "not available?"