MILA zingine ni UDHALILISHAJI .... tuziache

MILA zingine ni UDHALILISHAJI .... tuziache

busy bees

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2016
Posts
2,249
Reaction score
1,348
ab49dce583eb38c0587a4f63373e098f.jpg
 
Kuna baadhi ya makabila leo hii katika Tanzania yetu hii bado yamekumbatia MILA na DESTURI ambazo ni hakika zawadhalilisha dada na wadogo zetu wa kike .....

How comes mwamuweka binti eti KIGOLI kifua waziiiii "maziwa" nje kwa kila mtu kumuona?
 
Kweli mkuu! Serikali iwaambie Wamasai waache kujizonga mashuka na kutembea na magongo. wavae nguo zinazovaliwa na dunia ya leo wanaidhalilisha Tz.
 
Niliwahi ishi sehemu, matiti ya mwanamke sio culture value ni kiungo kama mikono au viungo vingine...

Kwa huku kwetu karne ya 24 hizo sehemu ni adimu
 
Niliwahi ishi sehemu, matiti ya mwanamke sio culture value ni kiungo kama mikono au viungo vingine...

Kwa huku kwetu karne ya 24 hizo sehemu ni adimu
Wapi huko uliishi mkuu?
 
Back
Top Bottom