Mila zingine mnaweza mkimbiane..

Mila zingine mnaweza mkimbiane..

Leornado

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2010
Posts
1,529
Reaction score
200
Du jamaa wamejiremba hadi wanatisha sasa ....

65415_178151265536624_100000252555826_610242_986197_n.jpg
 
Noma....huko ndo wazungu waliiga kujipaka paka marangi nao!Sema angalau wao wanapangilia!
 
Mkiambiwa kuja kwa WADHUNGU kumetukomboa tunabisha! Hayo unayoyaona inamaanisha sote tungekuwa hivi uwaonavyo kwa maisha yetu yote. Jambo la msingi ni kwa viongozi na wanajamii wengine hasa WANAHARAKATI kusaidia kuelimisha na kufumbua macho hili kundi.
 
Mmmmhh! Mkuu! Ni mila ya mkoa gani? Lakini mi naona km wamependeza sana.
 
Back
Top Bottom