- Thread starter
- #21
mm nawamotivate tu ila ucje ukadhan wakianza kututongoza tutatongozwa ovyo km tunavyowatongoza sisi ilo sahau wale wakipenda wanapenda kweli wana kinyaa pia ivo akikuambia anakupenda kamaanisha sisi wanaume tumeweka tamaa mbeleWadanganye wajichanganye na vile wengi wetu hatujuagi kukataa, ni maumivu.