Wewe mrundi nakushauri ukamhoji nkurusinza juu ya huu ukimbizi wenu wa kutengeneza!Mimi ni mtanzania!
Ulichangia shilingi ngapi wewe mpiga marktime wa lumumba? Uwe basi unajenga hoja zenye kutuunganisha na ujenzi wa viwanda badala ya huu upuuzi wako uliokaa kama ushuzi wa kunde!