goldie ink
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 5,636
- 9,132
Wewe ni Zuzu!
Mkuu msamehe bhana kila mtu ana jinsi anavyo fikiri.
Wewe ni Zuzu!
Lazima muweweseke, mtu mliyetaka awe kaburini sasa hivi mzima anaongea, lazima mtaweweseka zaidi ya hapo, binadamu mwenzako unamfanyia ufirauni kaa huo khaa!!Wahenga walisema kufa kufaana usemi huu unakamilika hapa kwa jamaa waliochukua mgonjwa na kumpeleka nchi jirani na kutuletea gharama za matibabu ukiangalia kwa undani kiwango kilichosemwa ni kingi sana mpaka inapelekea kunusa harufu ya ufisadi
Tutaamini vipi tunaomba tuonyeshwe rist za matibabu kuliko kupewa hesabu ya jumla!
Tusiogope kuhoji!