Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,010
- 9,875
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Ole Sanare ameagiza wenyeviti wa vitongoji 21 vilivyoko katika mji mdogo wa Mikumi kukamatwa kwa kushindwa kuwahamasisha wananchi kushikiriki ujenzi wa madarasa.
RC Sanare amesema alijua kuna kutoka kwa wenyeviti katika ujenzi wa madarasa hayo ambayo kwa kiasi kikubwa yanategemea nguvu za wananchi hivyo ilikuwa kazi ya wenyeviti kuwakusanya wananchi wao.
Aidha RC ameagiza Mkuu wa Shule ya Sekondari Kauzeni iliyoko Manispaa ya Morogoro kutafutiwa kazi nyingine kwa kuwa ameitelekeza shule hiyo kwa zaidi ya miaka sita.
RC Sanare amesema alijua kuna kutoka kwa wenyeviti katika ujenzi wa madarasa hayo ambayo kwa kiasi kikubwa yanategemea nguvu za wananchi hivyo ilikuwa kazi ya wenyeviti kuwakusanya wananchi wao.
Aidha RC ameagiza Mkuu wa Shule ya Sekondari Kauzeni iliyoko Manispaa ya Morogoro kutafutiwa kazi nyingine kwa kuwa ameitelekeza shule hiyo kwa zaidi ya miaka sita.