MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 6,220
- 3,917
Morogoro inatia aibu. Mie natoka mkoa huo lakini kwa swala la kusinzia ndo tunaongoza. Wanachofanya CCM mikoa yote wanayopata kura nyingi huwa hawapeleki miradi yoyote ya maendeleo. Barabara ya Kidatu - Ifakara - Mahenge mpaka leo hii ni ya vumbi na wakati wa masika ni shughuli pevu. Ukija uchaguzi kura zote kwa CCM. Shame on us!
Hata mimi ningekuwa CCM nisingepeleka maendeleo, sasa watu wameridhika na hali zao duni na kila msimu wa uchaguzi wanauhakika wa kushinda, kisa cha kujipunguzia posho kwa ajili ya wajinga ni nini?
Namkukmuka sana mtu aliyeuliza " kuna ndoa gani kati ya CCM na watu maskini?" hili hata mimi sijalipatia jibu, nisaidieni