Mikoa mitano yenye watu wengi zaidi

Mikoa mitano yenye watu wengi zaidi

Ghorofa sio mpaka ziwe na sirabu 20 kwenda juu ndo isomeke ghorofa ata sirabu moja pia ni ghorofa sasa kwa wiliya zote za tanga na kata zake kwa Nini zisifike pangani tu wilaya ya mwisho Kuna ghorofa kibao kule za kikoroni za mawe sasa chukua wilaya zilizochangamka kupita hata mikoa mingine Tanzania rushoto korogwe muheza handeni na Kuna kata zimechangamka Kama wiliya vile mkata mombo segera hare kabuku amani maramba horohoro na nk
 
Niko paleee nawasubiri watu wa R chuga waje
Arusha hawazaliani hovyo japo wana uchumi mzuri.

Arusha na Kilimanjaro wanajitambua sana, hawana haja ya kupewa elimu ya family planning.
 
Kwetu hatuzaliani hovyo kama panya. Watoto wachache wapate elimu na maisha bora Mae
Na huko kwa wenye kuzaa watoto wachache ndiko wanakoongoza kwa ujinga kama umasaini huko.
 
Na huko kwa wenye kuzaa watoto wachache ndiko wanakoongoza kwa ujinga kama umasaini huko.
Hivi wamasai kuvaa rubega(mgololi) ndio ujinga? Kwa sababu wengi mnapotosha.
Tumia takwimu za NBS sio za uvaaji wa mashuka.
 
Ifuatayo ni mikoa mitano ( top five) yenye watu wengi zaidi nchini Tanzania

1. Dar es Salaam 5,383728
2. Mwanza. 3,699,872
3.Tabora. 3,391,679
4. Morogoro. 3,197,104
5. Dodoma. 3,088,625

Aidha, hii ndio mikoa kumi yenye watu wengi zaidi nchini Tanzania
1. Dar e Salaam 5,383,728
2. Mwanza 3,699,872
3.Tabora. 3,391,679
4.Morogoro 3,197,104
5. Dodoma 3,088,625
6. Kagera 2,989,299
7. Geita 2,977,608
8. Tanga 2,615,597
9. Kigoma 2,470,967
10.Mara. 2,356,255
Siioni ile mikoa yenye mademu wakali;
Arusha, Manyara, Singida
 
Ni kipi kinasababisha Morogoro isiwe jiji??

Mbona Tanga imekuwa jiji kitambo Sana! au sababu hakuna barabara kama za Tanga mijini?

Na Mbeya nayooo!![emoji848][emoji848]
Majiji hayawezi kuwa karibu lazima yawe mbalimbali so dar na moro ni karibu sanaa
 
Arusha haina watu kabisa ,
Au hawakuhesabu vizuri?
Arusha watu wanaishi sana Arusha mijini ila kuliko baki ni mbuga na hifadhi zisizo na idadi. Mikoa mengine kuna vimiji vingi na vijiji badala ya mapori.

Halafu kuna mikoa ina hifadhi nyingi kama morogoro ila wakati huohuo ni mikoa mikubwa zaidi ya mara mbili ya Arusha hivyo inakuwa na watu wengi
 
Niko paleee nawasubiri watu wa R chuga waje
Sehemu yoyote yenye watu waelewa kwa dunia ya sasa hawazai tu kama panya

Hata kwny developed countries kama UK, Sweden, German, France, Switzerland na Italy ni hivyo
 
ata mimi nipo Mwanza sikuhesabiwa pamoja na wana kibao tu je watu wangapi hawakuhesabiwa Mwanza usiangalie tu upande mmoja, pia nadhani walifanya estimation pamoja na interview kujua wakazi kwenye hizo kaya.
Jirani yako alitoa takwimu zako
 
Back
Top Bottom