Mikoa mitano yenye watu wengi zaidi

Mikoa mitano yenye watu wengi zaidi

Niko paleee nawasubiri watu wa R chuga waje
Screenshot_20221101-104337.png
 
Shughuli za Arusha na Yale majengo ni kwa ajili ya wazungu wanaokuja na kuondoka ila watanzania ni wachache tangu kitambo..na hata wakazi wengi wa Arusha ni watu wa Kilimanjaro
..vijana wengi wa hapo maskani yao ni Nairobi na Dar kwa mbali
Aika Arawa
 
ata mimi nipo Mwanza sikuhesabiwa pamoja na wana kibao tu je watu wangapi hawakuhesabiwa Mwanza usiangalie tu upande mmoja, pia nadhani walifanya estimation pamoja na interview kujua wakazi kwenye hizo kaya.
 
ata mimi nipo Mwanza sikuhesabiwa pamoja na wana kibao tu je watu wangapi hawakuhesabiwa Mwanza usiangalie tu upande mmoja, pia nadhani walifanya estimation pamoja na interview kujua wakazi kwenye hizo kaya.
Ulijificha wapi? Au ndio wale ambao mnataka mlipwe ndio muhesabiwe?
 
Sis watu wa Mkoa wa kitalii

Tunazaa kitalamu

Hatuzai tuuu ilimradii

Two kids per family, or three

Sasa ndugu zangu akina ngosha na Watani zetu wagogo na nyumba Zak kama chanja la kuchechulia mahindra na wengine wanazaa kama kuku.

Huku kwetu mkoa wa Kitaliii hapanaaaaaaaaaaaaaaa

Arusha safiiii
Uliza ishu za kimaendeleo kama shule,hospitali,kaya zenye vyoo bora,miundombinu ya barabara,maji safi na umeme ndio utacheka
 
Ni kipi kinasababisha Morogoro isiwe jiji??

Mbona Tanga imekuwa jiji kitambo Sana! au sababu hakuna barabara kama za Tanga mijini?

Na Mbeya nayooo!!🤔🤔
Umeshafika morogoro mjini au uliishia msamvu tu,kuna hadi nyumba za udongo,Tanga kuzuri sana acha kabisa
 
Ifuatayo ni mikoa mitano ( top five) yenye watu wengi zaidi nchini Tanzania

1. Dar es Salaam 5,383728
2. Mwanza. 3,699,872
3.Tabora. 3,391,679
4. Morogoro. 3,197,104
5. Dodoma. 3,088,625

Aidha, hii ndio mikoa kumi yenye watu wengi zaidi nchini Tanzania
1. Dar e Salaam 5,383,728
2. Mwanza 3,699,872
3.Tabora. 3,391,679
4.Morogoro 3,197,104
5. Dodoma 3,088,625
6. Kagera 2,989,299
7. Geita 2,977,608
8. Tanga 2,615,597
9. Kigoma 2,470,967
10.Mara. 2,356,255
Arusha maisha magumu sana aisee, lazima watu wapungue huko
 
Umewahi kufika tanga?
Hilo ndio tatizo la waswahili wengi
Hapo Ngamiani kati kuna ghorofa ngapi ? Nenda Raskazone kuna ghorofa pale ? Kwa akili yako wewe unadhani siijui Tanga ? Napajua sana tu nimelala Dolphini, Mtendele n.k. leo unasema siijui Tanga ?
 
Arusha maisha magumu sana aisee, lazima watu wapungue huko
Arusha eneo kubwa ni mbuga za umasaini tu na ukame kwa kwenda mbele. Watu wengi wako Arusha mjini, Meru na kidogo Karatu.
 
Back
Top Bottom