Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 9,926
- 8,946
SPORTBETY website HAIFUNGUKI
Au kwangu tu?
Au kwangu tu?
hata kwangu haifungukiSPORTBETY website HAIFUNGUKI
Au kwangu tu?
Wanaboa kwelihata kwangu haifunguki
Juzi nilikaa sehemu alone nililisaidia sana kupoteza mdaNimepata kipigo cha kimasihara sasa hivi nimeamua niwe nachati na maroboti tu. Abarikiwe huyo aliyegundua CHATGPT linatuondolea upweke.
Hakika linasaidia sana kupunguza upweke na kupoteza mawazo. Tena wamefanya vizuri kutuwekea kiswahili.Juzi nilikaa sehemu alone nililisaidia sana kupoteza mda
Linapatikana wapi hili mkuuHakika linasaidia sana kupunguza upweke na kupoteza mawazo. Tena wamefanya vizuri kutuwekea kiswahili.
Hii nimeichek iko poa sana but akaunti iko zerooWenye malaki, mamilioni na mabilioni mnakaribishwa.
FKL89 1xbet
Linapatikana wapi hili mkuu
Kwa urahisi Ingia telegram search CHATGPT ikitokea anza kuchati nalo kwa kuuliza swali lolote.Linapatikana wapi hili mkuu
Aisee nilikuwa siijui hii Chatgpt...inanisaidia sanaa kiofisi.....checki majibu ya betting....hahahaaKwa urahisi Ingia telegram search CHATGPT ikitokea anza kuchati nalo kwa kuuliza swali lolote.
ChatgptAisee nilikuwa siijui hii Chatgpt...inanisaidia sanaa kiofisi.....checki majibu ya betting....hahahaa
Chukua hiyo code mkuu kama unatumia 1xTupe jina la mechi kiongz
Majibu murua kabisa, ila roboti ni anatushauri tusisuke mikeka mara nyingi kwa sababu hakuna uhakika.
Aisee hilo robot limesetiwa aisee, hii dunia ipo speed sana. Dude hata ukilichanganyia lugha kwenye sentence moja nalo linakujibu fresh kabisa shikamoo mthungu