Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Daah nina shida na hela nime withdraw premier mpaka sasa kimya
yaaniii majanga, premier ingekuwa kama meridian, mkekabet, princessbet ingekuwa raha sana lakini hawa, unaweza uka-withdraw asubuhi kitu ikaingia saa mbili usiku, weekend ndo kabisaaaaaa bora hata m-bet wanajitahidi, sijui sportpesa kwa ambao huwa wanabet huko
 
Natumia premierbet huko m bet sikumbuki ni lini nilideposit hata mara ya mwisho
mkuu hamia kampuni nyingine huko m bet unabanwa hawataki ule wanataka wale peke yao hawana option nyingi
Mkuu nimeiona premierbet tatizo nikitaka kujoin inaniletea option za computer kwenye cm inazingua, au inapatikana play store?
 
upload_2017-8-21_13-35-12.png

upload_2017-8-21_13-35-54.png

Odds: 7.35
 
Mkuu nimeiona premierbet tatizo nikitaka kujoin inaniletea option za computer kwenye cm inazingua, au inapatikana play store?
Mbona mm nimejoin kwa kutumia simu! Accept hapo Pc version acha uoga mkuu! Jiunge fasta upige hela! Premier haina app ni website tuu

Million dollars
 
Back
Top Bottom