Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Yeah huku ni kwa muda, ila wakati huu wa masika mambo sio mabaya mkuu.Ila ile namba 01 yote iliyowashinda wachimbaji kwasababu ya maji imechukuliwa na machina kwahiyo mambo sio mabaya.Nikitoka huku naenda Chunya.

Mkuu sio wewe tu uliyepoteza, mimi hapa nina hasara ya 250K sema najua itarudi kwa njia nyingine.

.
Kule niliwahi kuja nikaona miyeyusho, nikarudi huku maana tuna leseni na maeneo ya uchimbaji,na vifaa vyote...

Huku iwe mvua au jua sisi twapiga kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Westham na Liverpool mnaweza kuwapa GG

Arsenal win au over 1.5

Inter 1.5 over

Nani mwingine aaah okk

Napoli 1.5 over

👍👍
Katika hii niliyotoa amebaki inter tu napo lazima atoe over kwaiyo ni boooooom boooom boooooom😅😂🤣 kama ulifata lakini
 
kwanini kila mechi inapoanza kuchezwa england kuna heshima hutolewa
Hyo symbo hapo ya ua inaitwa THE POPPY it’s a symbol of remembrance it is worn around 11th nov for remembrance of those who died in 1WW and other wars as of to date.
Servicemen in English
IMG-20211107-WA0000.jpg
 
mechi 20 kwa buku 2000 atakuwa aliselect option ngumu sana yenye odds nene
Sijui aliweka option gani ila mimi betpawa niliwai kubet mechi 14 zikaja odds elfu 54 nikaweka nikaweka 800 ilikua inakuja MILLION 48 timu 2 zikachana mkeka
 
Sijui aliweka option gani ila mimi betpawa niliwai kubet mechi 14 zikaja odds elfu 54 nikaweka nikaweka 800 ilikua inakuja MILLION 48 timu 2 zikachana mkeka
inategemeana na options ,maana Mimi kwa 2000 timu 30 inakujaga kuanzia mil 2 hadi 4 ,hapo ni zile odds za 1.10-1.30
 
Kuna mtu anamfahamu physically mtu wa karibu aliyewahi kula jackpot ya sportpesa? Ule mpunga wanatoa kweli?...maana naishiaga mechi 8 nataka niweke juhudi zangu huko Sasa hivi
 
Back
Top Bottom