official member
Member
- Jun 14, 2021
- 7
- 6
Bet Lost.heshima kwa waliopoteza maisha kwenye janga la corona
Tusubiri komb la dunia asee hali so poa kipind cha nyuma akukua ivii ..afu unakuta mechi inaisha inaongezwa dakik 9 mfano io gemu ya atletico imengezw wakapigwa .. gem ya toternam imeisha droo ikaongezwa dakik chache gem ya arsenal ikaongezwa dakik 6 ila isawazishw khaaah na hiz red tenanahisi kuna kitu kinaendelea siyo bure ,Jana ligi ya Czech timu kubwa zimedraw,leo leo pia zimedraw .Zenit Leo kadi nyekundu,Ac Roma kafungwa .Ligi ya England Chelsea ana draw kumsubiri Mancity aliyefungwa wiki iliyopita ashinde ,Leo Liverpool ataleta pia surprise ,siyo bure nadhani makampuni ya betting kuna madili wanacheza
Polee sana mkuu..uamuzi ni wako kama unaweza kuepuka kaz hii bora uache kama unaona unapata sana hasara..huu ni uwekezaji inabid tucheze kwa heshima sana.Sio utani nimepiga hesabu tokea trh 1 moja mwezi wa kumi hadi trh30 hakuna faida yoyote ile zaidi ya hasara tukiendelea kudanganyana na kufarijiana na usemi wa ipo siku kanjibhai atalala
Apan mkuu ni yule mmarekani mweusi alieuwawa na polic yule george floydheshima kwa waliopoteza maisha kwenye janga la corona
Ni rahisi sana kwa mchungwa kustawi kwenye rami,kuliko mtu kushinda laki 5 kwenye betting.
Asilimia 99.9 ya watu wote wanaobet hapa tanzania wana negative balancee of payment,maana yake wamedeposit sana kuliko kuwithdrwaw
ππππππππππππππππππππππππTupumzike kwa amani
Betting ya ajab kwel, unabet mkeka wa 5k possible win laki tano mechi ya mwisho kwenye betslip inachana... maumivu yanakuwa sawa na wewe uliyedeposit 430kJana hadi leo nimepoteza 430,000 hizo ni deposits....
Roma
Chelsea
Basket NBA
Totternham
Sent using Jamii Forums mobile app