Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

nilijua nimeweka laki..kumbe buku... anayeweza kufata afate....pesa ipo

1153786832857 Standard account
------------------------------------------
[8/8]
0273 30-12 20:15:00 Rayo Vallecano-Atletic
Total Goals 2+ 1.33
0274 30-12 20:15:00 Sevilla-Espanyol
Final Score 1 1.42
0276 30-12 22:30:00 Barcelona-Betis
Goal In Both Halves Yes 1.20
0272 30-12 18:00:00 Real Madrid-Real Socie
Goal In Both Halves Yes 1.31
0277 30-12 22:30:00 Celta-Athletic Bilbao
Total Goals 2+ 1.31
1614 30-12 22:45:00 Motherwell-St Johnston
Total Goals 2+ 1.31
1613 30-12 22:45:00 Hearts-Dundee Utd
Total Goals 2+ 1.25
0695 30-12 22:45:00 Sunderland-Liverpool
Total Goals 2+ 1.31
------------------------------------------
Total: 1000.00
------------------------------------------
Min win: 8342.89
Min tax: 1321.72
Max win: 8342.89
Max tax: 1321.72
Max payout: 7021.17
Combination count: 1
 
Wakuu wakazi wacha niwamegee kisa hichi cha kununua odds...nmeshindwa kuwamegea kwa wakati kutokana na machungu nliyokuwa nayo ya kutapeliwa pesa yangu mnamo cku ya jmosi ya tarehe 26/12/2015....nlikuwa mtu wa uchunguzi nikasema wacha nijaribu inawezekana ikawa kweli kunauwezekano wa kununua odds basi nikawatafuta watu hawa wanajiita BEST-1×2 nikaongea nao vizuri tukaelewana yakuwa VIP ticket wanauza kwa euro 45 nikasema sawa wakasema pesa niwatumie kwa western union na hawa watu wapo MACEDONIA na nikishatuma odds zangu watatuma kwa email yangu ambapo walinipa timu nne ambazo ni
1.Southampton vs arsenal =southamton win
2.wb vs lokeren= draw
3.crawley vs Stevenage=stevenage win
4.hemel vs wealdstone=draw
Wakanambia hizo odds ni over 90 na kwenye system yao walionyesha odds za tareh 26 ni around 92.8 basi nikaenda meridian nikazitafuta hizo tim zangu nikakuta hizo odds hazifiki over 90 nikabadiri campany nikaenda kwa mkeka bet nikatafuta nikaona hazifiki basi nikajipa moyo kwani macompany ya kubet yapo mengi na wanatoa odds tofauti..basi nikaweka pesa yangu 20,000 nikasema kwakuanzia nisiweke pesa nyingi nikasubiri matokeockuamini macho yangu kwa nilichokipata cku ya jpili asubh nikaona sio mbaya nikapitia kwenye system yao kuona wameweka zile timu walizonipa nikaona hamna kitu bado hawajaweka. Nikapata kuwa mvumilivu hadi jpili saa mbili ucku ndo nikaona vihoja vingine kwenye system yao wamechange hata odds walizokuwa wameziweka mwanzo na timu wamebadirisha odds mwanzo zilikuwa 92.8 wakapandisha hadi 94 hapo nikajua nmeshaibiwa nikaamua kuwajurisha kuwa walichonipa sicho walichokiweka kwenye system na pia nimekosa mechi mbili na walisema ni safe 100% wakanijibu natakiwa nilipie hadi siku kumi nikiona bado cjaridhika basi pesa yangu yote ya cku kumi itarudi...bila shaka utakuwa umepata picha kidogo japo mie sio mwalimu muzuri wa kuelekeza bt hayo ndo yaliyonikuta....email ya hao jamaa ni best-1×2@hotmail.com
Contact zao ni +38978622096
Vijana mchezo huu ni bahati ya mtu usitegemee mtu kupanga matokeo kabla ya mechi na mtu akikwambia anauza odds wala usihangaike nae endelea na mambo yako yaliyonikuta ni funzo tosha kwa ww ambaye hujajaribu...unaweza kuwatembelea hao jamaa kwa kugoogle megapicks au best-1×2.com
 
Wakuu wakazi wacha niwamegee kisa hichi cha kununua odds...nmeshindwa kuwamegea kwa wakati kutokana na machungu nliyokuwa nayo ya kutapeliwa pesa yangu mnamo cku ya jmosi ya tarehe 26/12/2015....nlikuwa mtu wa uchunguzi nikasema wacha nijaribu inawezekana ikawa kweli kunauwezekano wa kununua odds basi nikawatafuta watu hawa wanajiita BEST-1×2 nikaongea nao vizuri tukaelewana yakuwa VIP ticket wanauza kwa euro 45 nikasema sawa wakasema pesa niwatumie kwa western union na hawa watu wapo MACEDONIA na nikishatuma odds zangu watatuma kwa email yangu ambapo walinipa timu nne ambazo ni
1.Southampton vs arsenal =southamton win
2.wb vs lokeren= draw
3.crawley vs Stevenage=stevenage win
4.hemel vs wealdstone=draw
Wakanambia hizo odds ni over 90 na kwenye system yao walionyesha odds za tareh 26 ni around 92.8 basi nikaenda meridian nikazitafuta hizo tim zangu nikakuta hizo odds hazifiki over 90 nikabadiri campany nikaenda kwa mkeka bet nikatafuta nikaona hazifiki basi nikajipa moyo kwani macompany ya kubet yapo mengi na wanatoa odds tofauti..basi nikaweka pesa yangu 20,000 nikasema kwakuanzia nisiweke pesa nyingi nikasubiri matokeockuamini macho yangu kwa nilichokipata cku ya jpili asubh nikaona sio mbaya nikapitia kwenye system yao kuona wameweka zile timu walizonipa nikaona hamna kitu bado hawajaweka. Nikapata kuwa mvumilivu hadi jpili saa mbili ucku ndo nikaona vihoja vingine kwenye system yao wamechange hata odds walizokuwa wameziweka mwanzo na timu wamebadirisha odds mwanzo zilikuwa 92.8 wakapandisha hadi 94 hapo nikajua nmeshaibiwa nikaamua kuwajurisha kuwa walichonipa sicho walichokiweka kwenye system na pia nimekosa mechi mbili na walisema ni safe 100% wakanijibu natakiwa nilipie hadi siku kumi nikiona bado cjaridhika basi pesa yangu yote ya cku kumi itarudi...bila shaka utakuwa umepata picha kidogo japo mie sio mwalimu muzuri wa kuelekeza bt hayo ndo yaliyonikuta....email ya hao jamaa ni best-1×2@hotmail.com
Contact zao ni +38978622096
Vijana mchezo huu ni bahati ya mtu usitegemee mtu kupanga matokeo kabla ya mechi na mtu akikwambia anauza odds wala usihangaike nae endelea na mambo yako yaliyonikuta ni funzo tosha kwa ww ambaye hujajaribu...unaweza kuwatembelea hao jamaa kwa kugoogle megapicks au best-1×2.com
Pole sana kiongozi
 
Wakuu wakazi wacha niwamegee kisa hichi cha kununua odds...nmeshindwa kuwamegea kwa wakati kutokana na machungu nliyokuwa nayo ya kutapeliwa pesa yangu mnamo cku ya jmosi ya tarehe 26/12/2015....nlikuwa mtu wa uchunguzi nikasema wacha nijaribu inawezekana ikawa kweli kunauwezekano wa kununua odds basi nikawatafuta watu hawa wanajiita BEST-1×2 nikaongea nao vizuri tukaelewana yakuwa VIP ticket wanauza kwa euro 45 nikasema sawa wakasema pesa niwatumie kwa western union na hawa watu wapo MACEDONIA na nikishatuma odds zangu watatuma kwa email yangu ambapo walinipa timu nne ambazo ni
1.Southampton vs arsenal =southamton win
2.wb vs lokeren= draw
3.crawley vs Stevenage=stevenage win
4.hemel vs wealdstone=draw
Wakanambia hizo odds ni over 90 na kwenye system yao walionyesha odds za tareh 26 ni around 92.8 basi nikaenda meridian nikazitafuta hizo tim zangu nikakuta hizo odds hazifiki over 90 nikabadiri campany nikaenda kwa mkeka bet nikatafuta nikaona hazifiki basi nikajipa moyo kwani macompany ya kubet yapo mengi na wanatoa odds tofauti..basi nikaweka pesa yangu 20,000 nikasema kwakuanzia nisiweke pesa nyingi nikasubiri matokeockuamini macho yangu kwa nilichokipata cku ya jpili asubh nikaona sio mbaya nikapitia kwenye system yao kuona wameweka zile timu walizonipa nikaona hamna kitu bado hawajaweka. Nikapata kuwa mvumilivu hadi jpili saa mbili ucku ndo nikaona vihoja vingine kwenye system yao wamechange hata odds walizokuwa wameziweka mwanzo na timu wamebadirisha odds mwanzo zilikuwa 92.8 wakapandisha hadi 94 hapo nikajua nmeshaibiwa nikaamua kuwajurisha kuwa walichonipa sicho walichokiweka kwenye system na pia nimekosa mechi mbili na walisema ni safe 100% wakanijibu natakiwa nilipie hadi siku kumi nikiona bado cjaridhika basi pesa yangu yote ya cku kumi itarudi...bila shaka utakuwa umepata picha kidogo japo mie sio mwalimu muzuri wa kuelekeza bt hayo ndo yaliyonikuta....email ya hao jamaa ni best-1×2@hotmail.com
Contact zao ni +38978622096
Vijana mchezo huu ni bahati ya mtu usitegemee mtu kupanga matokeo kabla ya mechi na mtu akikwambia anauza odds wala usihangaike nae endelea na mambo yako yaliyonikuta ni funzo tosha kwa ww ambaye hujajaribu...unaweza kuwatembelea hao jamaa kwa kugoogle megapicks au best-1×2.com

Umeelezea kila kitu!

Mwenye macho na asome, asipoelewa ni juu yake.
 
m
Wakuu wakazi wacha niwamegee kisa hichi cha kununua odds...nmeshindwa kuwamegea kwa wakati kutokana na machungu nliyokuwa nayo ya kutapeliwa pesa yangu mnamo cku ya jmosi ya tarehe 26/12/2015....nlikuwa mtu wa uchunguzi nikasema wacha nijaribu inawezekana ikawa kweli kunauwezekano wa kununua odds basi nikawatafuta watu hawa wanajiita BEST-1×2 nikaongea nao vizuri tukaelewana yakuwa VIP ticket wanauza kwa euro 45 nikasema sawa wakasema pesa niwatumie kwa western union na hawa watu wapo MACEDONIA na nikishatuma odds zangu watatuma kwa email yangu ambapo walinipa timu nne ambazo ni
1.Southampton vs arsenal =southamton win
2.wb vs lokeren= draw
3.crawley vs Stevenage=stevenage win
4.hemel vs wealdstone=draw
Wakanambia hizo odds ni over 90 na kwenye system yao walionyesha odds za tareh 26 ni around 92.8 basi nikaenda meridian nikazitafuta hizo tim zangu nikakuta hizo odds hazifiki over 90 nikabadiri campany nikaenda kwa mkeka bet nikatafuta nikaona hazifiki basi nikajipa moyo kwani macompany ya kubet yapo mengi na wanatoa odds tofauti..basi nikaweka pesa yangu 20,000 nikasema kwakuanzia nisiweke pesa nyingi nikasubiri matokeockuamini macho yangu kwa nilichokipata cku ya jpili asubh nikaona sio mbaya nikapitia kwenye system yao kuona wameweka zile timu walizonipa nikaona hamna kitu bado hawajaweka. Nikapata kuwa mvumilivu hadi jpili saa mbili ucku ndo nikaona vihoja vingine kwenye system yao wamechange hata odds walizokuwa wameziweka mwanzo na timu wamebadirisha odds mwanzo zilikuwa 92.8 wakapandisha hadi 94 hapo nikajua nmeshaibiwa nikaamua kuwajurisha kuwa walichonipa sicho walichokiweka kwenye system na pia nimekosa mechi mbili na walisema ni safe 100% wakanijibu natakiwa nilipie hadi siku kumi nikiona bado cjaridhika basi pesa yangu yote ya cku kumi itarudi...bila shaka utakuwa umepata picha kidogo japo mie sio mwalimu muzuri wa kuelekeza bt hayo ndo yaliyonikuta....email ya hao jamaa ni best-1×2@hotmail.com
Contact zao ni +38978622096
Vijana mchezo huu ni bahati ya mtu usitegemee mtu kupanga matokeo kabla ya mechi na mtu akikwambia anauza odds wala usihangaike nae endelea na mambo yako yaliyonikuta ni funzo tosha kwa ww ambaye hujajaribu...unaweza kuwatembelea hao jamaa kwa kugoogle megapicks au best-1×2.com
Mkuu nafikiri somo liko wazi. Hata websites hizi sio za kuziamini sana. Niliomba utoe somo na umelitoa pasipo hiyana.Karibu kilingeni mkuu tutawakalisha tu. Sijui @[B][I]mwongofu[/I][/B] atakuwa na jipya lipi safari hii. Nina hasira na mzungu na Khanjiii...namdai pesa mingi sana
 
Kwa sisi wa windows phone tunakula bata na tapatalk yetu.

Raimindo NBA imefikia wapi. Nilikuwa off grid kwa muda.
 
Siku nyingi sijapita huku kumbe nimepitwa na mengi!...Naona kijiwe kimekaukiwa kiasi cha kuanza kununua tips kwa matapeli, duh, poleni sana wakuu! Akili ya kawaida tu inatakiwa ikuambie kuwa mtu aliye na uhakika na fixed match hawezi kurisk cancellation kwa kuuza tip, badala yake atabet mke wake, watoto, nyumba zake zote mpaka za urithi, kiinua mgongo cha babu yake na pesa kiasi chochote atachopata atakiweka kwenye dau kwa sababu anauhakika. Hawezi kuhangaika kuuza tips. Fixed match zipo, mara chache sana habari huwa zinavuja, ukiibahatisha unafumua, lakini usidanganyike kuuziwa tip ya 100% safety, sahau. Pia huwa kuna games ambazo unakuta bookies either hawajafanya utafiti wa kutosha au wamejisahau tu wanaziprice chini juu, ukiiotea unatandika, hizi hutokea kwa ligi ndogondogo ambazo hazijulikani sana. Bookie anakutandika, usiweke mtu kati tena na yeye akutandike kirahisi!
 
Siku nyingi sijapita huku kumbe nimepitwa na mengi!...Naona kijiwe kimekaukiwa kiasi cha kuanza kununua tips kwa matapeli, duh, poleni sana wakuu! Akili ya kawaida tu inatakiwa ikuambie kuwa mtu aliye na uhakika na fixed match hawezi kurisk cancellation kwa kuuza tip, badala yake atabet mke wake, watoto, nyumba zake zote mpaka za urithi, kiinua mgongo cha babu yake na pesa kiasi chochote atachopata atakiweka kwenye dau kwa sababu anauhakika. Hawezi kuhangaika kuuza tips. Fixed match zipo, mara chache sana habari huwa zinavuja, ukiibahatisha unafumua, lakini usidanganyike kuuziwa tip ya 100% safety, sahau. Pia huwa kuna games ambazo unakuta bookies either hawajafanya utafiti wa kutosha au wamejisahau tu wanaziprice chini juu, ukiiotea unatandika, hizi hutokea kwa ligi ndogondogo ambazo hazijulikani sana. Bookie anakutandika, usiweke mtu kati tena na yeye akutandike kirahisi!
nimenunua tip sikumoja euro 30 aseee jamaa wa greece akanitandika mechi haikuwa fixed wala nini,,ni waongo sana wanapredict tu.
 
Kesho kuna mechi za kutosha,kuna hela nyingi sana lkn kuna kupigwa sana,tuanze kujadili biashara ya kesho wazee,nitarudi kuweka mkeka wangu hapa.
 
Back
Top Bottom