Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Double chance itafaa sana!

double chance kwa timu husika siyo ile ya timu yoyote kushinda game za zilizopita ziliniharibia mtaji wangu-kulikuwa na sare kibao
hata hvyo option ya double chance risk ni kubwa say kupata odd 2 pekee itakubidi kuweka timu kuanzia 3-4 bado kodi ikikatwa odds zako zitashuka mpaka 1.8 yani utaweka 10,000 upate elf 8,000.pia ni ngumu ktk timu 3 au 4 zote moja isitoe draw
maoni yangu achana na hyo option utapata hasara tupu
 
double chance kwa timu husika siyo ile ya timu yoyote kushinda game za zilizopita ziliniharibia mtaji wangu-kulikuwa na sare kibao
hata hvyo option ya double chance risk ni kubwa say kupata odd 2 pekee itakubidi kuweka timu kuanzia 3-4 bado kodi ikikatwa odds zako zitashuka mpaka 1.8 yani utaweka 10,000 upate elf 8,000.pia ni ngumu ktk timu 3 au 4 zote moja isitoe draw
maoni yangu achana na hyo option utapata hasara tupu


kiukwel hakuna option rahis jana nmecheza yeyote ashinde game ya chelsea ajabu wamedroo ni.wao tu wameninyima pesa
 
kiukwel hakuna option rahis jana nmecheza yeyote ashinde game ya chelsea ajabu wamedroo ni.wao tu wameninyima pesa

Ungewapa magoli mkuu match kama hizo mi ni magoli tu jana nimeweka match ya arsenal 3+ na match ya chelsea 3+ ya man 2+ na zote zimetoa
 
Ungewapa magoli mkuu match kama hizo mi ni magoli tu jana nimeweka match ya arsenal 3+ na match ya chelsea 3+ ya man 2+ na zote zimetoa


Shukuru mkuu hata kama n magol hvi ulitegemea game kama ya clystalpalace iishe 0-0 au game ya liverpol ishindwe kutoa 2+
 
Shukuru mkuu hata kama n magol hvi ulitegemea game kama ya clystalpalace iishe 0-0 au game ya liverpol ishindwe kutoa 2+

Mm ni mgeni kwenye kubet naombn mwongozo jns ya kuwapa magoli au double chance inakuwaje wakuu.natumia M bett
 
Mm ni mgeni kwenye kubet naombn mwongozo jns ya kuwapa magoli au double chance inakuwaje wakuu.natumia M bett


double chance m bet hawana kwenye ishu ya magol m bet wana over magol 3+ na under magol 0-2 ishu za double chance njoo meridian na premierbetting
 
kiukwel hakuna option rahis jana nmecheza yeyote ashinde game ya chelsea ajabu wamedroo ni.wao tu wameninyima pesa

zippo kama over 0.5 goal au kusipatikane goal first 5 minutes bt ndo odd zake 1.04 na risk ni kubwa maana lazima uweke mpunga wa maana
 
Back
Top Bottom