Mitimu ya italia ni ya kik***u****ma#-_$5+Napoli kashatobolewa kimoja huko
Duuuu mkuuu nani tena huyo maana wanahisia kinyama
leo nina hofu ac milan na parma wanafanya vitu,Mitimu ya italia ni ya kik***u****ma#-_$5+
Napoli anatupiwa tena goli nyingi na timu yenye odd zaidi ya kumi
But hata kabla juzi nadhani nilitahadhirisha. Hii ligi ina mamafia wa kufix match
Sent using Jamii Forums mobile app
nadhani hizi tuhuma tusimwache dortmound, nae ni mpuuzi sana siku za karibuni bila kusahau RB LeizpigNapoli, esperance, olympiacos, omonia nicosia, apoel limassol daa
Kweli Odds hazichezi mpira
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi naambuliaga bonus tu mechi 10..weekend hii sikucheza kabisa...nimechungulia now naona mzigo umeondoka wameanza na 200 zingine..dah huyo aliyekula kaanza mwaka vizuri kwa usawa huu huo mkwaja angalau si haba..Yaani huyu aliyekula jackpot ya sportpesa amenivunja moyo kuendelea kubeti jackpot nilikuwa nimeipania sana ile millioni 400 kila wiki nilikuwa natumia 50k mpaka 60k kuifukuzia daaah kweli bahati ni bahati tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaonekana ilikua rahisi fikiria mechi 10 wametoa elfu 68,mechi 11 wametoa laki 4,na wale wa mechi 12 wametoa M 10.....Bora wewe mkuu unataga hats bonuns mi hata bonuns sijawahi kupata mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Jackpot ngumu asee. unaweza tenga kila wiki million 10 ukawa unabet jack na usiambulie chochoteYaani huyu aliyekula jackpot ya sportpesa amenivunja moyo kuendelea kubeti jackpot nilikuwa nimeipania sana ile millioni 400 kila wiki nilikuwa natumia 50k mpaka 60k kuifukuzia daaah kweli bahati ni bahati tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza cheza double chance game 7..kwa 256000 na bado ukapigwa..Jackpot ngumu asee. unaweza tenga kila wiki million 10 ukawa unabet jack na usiambulie chochote
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena unapigwa vizuri tu bila shida yoyote.Unaweza cheza double chance game 7..kwa 256000 na bado ukapigwa..
Unaweza cheza double chance game 7..kwa 256000 na bado ukapigwa..
Hahahahaha hiii ilishawahi kunitokea kwenye jackort ya bet pawa nilitenga 64k nikaamuwa kucheza kwa kulinda nikacheza mikeka kumi na kila mkeka nililinda timu sita ila acha na nilichambua haswa vigezo vyote nilipitia ila huwezi amini sikuambilia hata mia ya dawaUnaweza cheza double chance game 7..kwa 256000 na bado ukapigwa..
Hahahahaha hiii ilishawahi kunitokea kwenye jackort ya bet pawa nilitenga 64k nikaamuwa kucheza kwa kulinda nikacheza mikeka kumi na kila mkeka nililinda timu sita ila acha na nilichambua haswa vigezo vyote nilipitia ila huwezi amini sikuambilia hata mia ya dawa
Sent using Jamii Forums mobile app