Mike Biodiesel: Wakuu Vipi Hii Imekaaje?

Apr 27, 2006
26,588
10,364
Mwakilasa: Man who dreams biodiesel fuel
12448.jpg
Mzee Rashid Kawawa with Mwakilasa(centre) during the launch of the book on Mwalimu Nyerere. By Elizabeth Tungaraza

He is a man working hard to promote biodiesel as an alternative for fossil fuels, increasingly blamed throughout the world for causing climate change.

Michael Mwakilasa picked interest about bodiesel from a friend, Anthony Park while in the United States where he lived and worked for more than 10 years.

Mwakilasa, who is married with two sons, last year founded Mafuta Sasa Biodiesel Ltd, which is headquartred in Dar es Salaam. Anthony Park is a co-director in the company.

He says their accompany has set up a mini-refinery that has so far produced 330 litres on test runs. Biodiesel is extracted from fresh or waste vegetable oils. It's an environmentally safe, low pollution fuel for most internal combustion and turbine diesel engines.

They plan to use mainly oil produced from the 'Jatropha Caucas' plant, known in Kiswahili as 'Mbono Kaburi,' which he says is good opportunity for another cash crop that won�t compete with food crops for both financial and land resources.

Jatropha Caucas, he says, grows in marginal lands, rarely used for growing other food and cash crops. It also thrives in areas with low rainfall totals, which could be another good economic opportunity for semi-arid regions, he adds.

"I decided to return in response to the call by President Jakaya Kikwete to Tanzanians in the Diaspora to come back and invest in our national economy," he says.

Jatropha Caucas grows well in areas with rainfall ranging from "250 mm to 2350mm. His company would provide farmers with quality seeds, he says.

"I have seen people live by Jatropha Caucas farming in developed countries, and I can bet it shall be the same way in Tanzania when farmers start cultivating the plant," says the soft-spoken man.

But Mwakilasa says biodiesel can also be extracted from discarded cooking oil, especially from large-scale operations like hotels and the fish market in Magogoni in the city.

Producing biodiesel has very good potential to provide employment and create jobs in rural areas. He envisages a day when biodiesel will replace fossil fuels in schools and hospitals. Farms near schools could also be part of income generating projects.

Thus, he says, biodiesel creates the opportunity to earn money as a person or institution also buys fuel. That is different, he says, from the situation whereby buying fuel is one hundred per cent expenditure.

Mwakilasa basically picked up his practical business skills as a salesman in the US for goods and items promoted by super stars such as Janet Jackson, Usher, N'sync, P' Diddy, Backstreet boys and many others during musical tours.

The job made him visit almost every state in the US. He had entered the land of dreams from Canada where he also lived for four years.

Mwakilasa constantly came back home. In 2,000, a year after Mwalimu Julius Nyerere died, Mwakilasa wrote a book entitled: "Tutakukumbuka Milele Baba wa Taifa,"Kisahili for "We Shall Remember You Forever Father of the Nation."

It was launched by Mr Rashid Kawawa, the man who became prime minister of independent Tanganyika when `mwalimu resigned the post to and strengthen the party in preparation for the republican status.

The book did not earn him money. He went back to the US and worked for two years at a legal firm.

HOW TO MAKE BIODIESEL After crude oil is collected, it is then heated to a certain temperature. Sodium Hydroxide and methanol are added and is left to cool for three hours.

The process also involves removing glycerin, which is used for manufacturing soap. Mwakilasa says he will be manufacturing very good laundry soap capable of removing greasy stains also from clothes.

After glycerin is removed, the oil is refined to produce biodiesel, which can be used in any diesel engine as a standalone fuel or in a mixture with fossil fuels.

Making fuel from vegetable oil can be easy, cost effective and environmentally beneficial. What makes this fuel even more attractive is that one can make it from the waste vegetable oil produced in the given area.

With a bit of know-how and persistence, one can run any diesel engine on vegetable oil. Biodiesel is not like vegetable oil alternative fuels. Biodiesel can be used in its unaltered form in diesel engines.

Vegetable oil fuels must be modified and used only in combustion-ignition engines. This makes biodiesel one of the easiest alternative fuels to use. In fact, it is a great option for use on farms in farm equipment.

Mwakilasa says people should stop blaming the government but work hard instead. The government should only create an enabling environment for people to realize their full potential.

He thanks the government for the cooperation and support extended to him for his venture. "The ministry of energy and minerals supports me a lot," he says.
 
- Wakuu heshima mbele sana, huyu ni mshikaji wa karibu sana ambaye hivi karibuni tu aliamua kurudisha majeshi yake bongo toka US, na hivi ndio vitu vyake, so far so good lakini anahitaji kutangazwa zaidi vipi hii changamoto yake?

- Mimi ninamuona ni mfano wa kuigwa kwa vijana au mnasemaje?

Respect.

FMEs!
 
- Wakuu heshima mbele sana, huyu ni mshikaji wa karibu sana ambaye hivi karibuni tu aliamua kurudisha majeshi yake bongo toka US, na hivi ndio vitu vyake, so far so good lakini anahitaji kutangazwa zaidi vipi hii changamoto yake?

- Mimi ninamuona ni mfano wa kuigwa kwa vijana au mnasemaje?

Respect.

FMEs!


Mkuu, pamoja na kuwa ameoina umuhimu wa kuja, hivyo investment anayotaka kuifanya tayari ina matatizo kibao.

Kwanza sio kweli kuwa hiyo mibono inaota kwenye 'marginal landa' na pasipokuwa na mmvua za kutosha. Utafiti unaonyesha kuwa mibono inahitaji mvua za kutosha na ardhi ya kutosha, na pia kuna baadhi ya wadudu wanaishambulia.

Lakini hayo sio muhimu, muhimu zaidi ni kwamba ili kuweza kupata faida, ni lazima awe na eneo kubwa sana la kuilima, na kama ujuavyo ardhi ni tatizo sasa hivi, na kuna kitisho cha njaa vile vile hasa kama wananchi wataamua kubadili ardhi ya kilimo na kuwa ya mazao kama mibono

pia ardhi inayooonekana kuwa marginal ikukbukwe kuwa inatumika kwa ajili ya mifugo, na wanyamapori....hili suala la kuwa kuna ardhi ambayo haitumiki sio entirely true.

Kingine, mchakato mzima wa kuproduce biodiesel umeonyesha kuongeza kiwango cha hewa ya ukaa (carbon dioxide) angani kuliko hata emission level za kawaida kutoka mafuta ya petroli, kwa hiyo at the end of teh day tunaongeza tatizo badala ya kulipunguza!

Ningemshauri atafute njia nyingine nzuri zaidi ya kuinvest kuliko hii ya biodiesel mkuu, na kama ujuavyo kwetu bado soko la hiyo biodiesel halipo, ina maana ategemee expeort,,,,which means producing in large quantities.

respect mkuu!
 
Mkuu, pamoja na kuwa ameoina umuhimu wa kuja, hivyo investment anayotaka kuifanya tayari ina matatizo kibao.

Kwanza sio kweli kuwa hiyo mibono inaota kwenye 'marginal landa' na pasipokuwa na mmvua za kutosha. Utafiti unaonyesha kuwa mibono inahitaji mvua za kutosha na ardhi ya kutosha, na pia kuna baadhi ya wadudu wanaishambulia.

Lakini hayo sio muhimu, muhimu zaidi ni kwamba ili kuweza kupata faida, ni lazima awe na eneo kubwa sana la kuilima, na kama ujuavyo ardhi ni tatizo sasa hivi, na kuna kitisho cha njaa vile vile hasa kama wananchi wataamua kubadili ardhi ya kilimo na kuwa ya mazao kama mibono

pia ardhi inayooonekana kuwa marginal ikukbukwe kuwa inatumika kwa ajili ya mifugo, na wanyamapori....hili suala la kuwa kuna ardhi ambayo haitumiki sio entirely true.

Kingine, mchakato mzima wa kuproduce biodiesel umeonyesha kuongeza kiwango cha hewa ya ukaa (carbon dioxide) angani kuliko hata emission level za kawaida kutoka mafuta ya petroli, kwa hiyo at the end of teh day tunaongeza tatizo badala ya kulipunguza!

Ningemshauri atafute njia nyingine nzuri zaidi ya kuinvest kuliko hii ya biodiesel mkuu, na kama ujuavyo kwetu bado soko la hiyo biodiesel halipo, ina maana ategemee expeort,,,,which means producing in large quantities.

respect mkuu!

Mazee,

Sijui unafanya kazi kwenye makampuni ya mafuta? Unafunga kamba hadi nasikia RAHA NDANI YA ROHO, Mweee!!!

Unataka kusema unapokamua mafuta ya karanga, alizeti, mtama nk unatengeneza Carbon dioxide? Ninavyofahamu mie ni kwamba European Union wameshatanganza kabisa hadi mwaka (...nimesahau ila waweza kuzipata hizi data) inabidi mafuta yote yanayouzwa kwenye petrolstation lazima yawe na asilimia zaidi ya tano kama sikosei ya mafuta ya biodisel. Tatizo ni kuwa kuna ugomvi mkubwa sana kati ya wauza mafuta ya kawaida na hawa wa biodisel. Wauza mafuta (diesel/petrol) wanadai kuwa biodisel zinaharibu Injini. Na kwa sababu wao ni matajiri sana (hata Tanzania utaona nguvu zao) huwalazimisha watengeneza magari (lobbing) kusema kuwa walisemalo ni kweli.

Juu ya ukulima pia si kweli. Hapa unakwenda pembeni ya ukweli. Kuna nchi kama Mali zinalima sana hili zao na Mali kama unavyofahamu ni kukavu kukavu hivi. Kwa Mazingira ya Tabora na ukichukulia kuwa Tabora kuna ardhi kubwa sana, basi hizi zao la Jetropha ni zao safi sana. Kwanza litasaidia kuuwa zao la Tumbaku, zao ambazo linachosha sana wakulima (yaani jamaa wa umri wangu wamekuwa kama wazee wangu), inabidi kila mwaka kulima shamba jipya na inapokuja kwenye kukausha, inabidi ukate miti mingi sana.

Hivyo kwa zao hili, huyu bwana NAMPA 5 ya nguvu. Kwa sasa kuna Dr. Yongolo na kundi lake la watu wa Sikonge, wako katika kulifagilia hili zao kwa kutoa shule, kugawa mbegu na kuhakikisha kuwa Sikonge inapata zao la kudumu na kuachana na Tumbaku ambalo kila mwaka inabidi ulime. Na ukija kwenye kuacha kilimo kingine na kuanza kulima Mibono, hili si kweli. Kama nilivyosema hapo juu, sisi huku Sikonge, miaka nenda miaka rudi tumekuwa tukilima Tumbaku na kulima Mazao mengine. Mibono itatufanya tupunguze kazi kwenye mibono (inabaki tu kutunza) na kuongeza muda na nguvu kwenye mazao mengine ya chakula.

Data zako kweli zinafurahisha. Sijui utafanya kazi kampuni gani la mafuta.

FMes, hili zaomutaona litakavyoanza kupigwa vita bungeni kwani kabla haya mafuta hayajaanza kuuzwa petro-stations, itabidi bunge/serikali itoe kibali, na hapa ndipo mtawaona hawa jamaa wa makampuni ya mafuta wakianza kutanua MSULI WAO.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
- Wakuu heshima mbele sana, huyu ni mshikaji wa karibu sana ambaye hivi karibuni tu aliamua kurudisha majeshi yake bongo toka US, na hivi ndio vitu vyake, so far so good lakini anahitaji kutangazwa zaidi vipi hii changamoto yake?

- Mimi ninamuona ni mfano wa kuigwa kwa vijana au mnasemaje?

Respect.

FMEs!



Ndio yale makaratasi ya biodiesel project jamaa aliyokuletea huyu jamaa na ukaahidi kumwanika na huu mradi ? Uliyesema katapeli mzungu na kamwibia idea, kumbe ni ndugu Mwakilasa, na ndio huyo hapo!

Alifanya ushirika na mchawi maskini, hakujua.
 
Mazee,

Sijui unafanya kazi kwenye makampuni ya mafuta? Unafunga kamba hadi nasikia RAHA NDANI YA ROHO, Mweee!!!


Hahaha mkuu, on the contrary, sijawahi kufanya na wala sitarajiii,,


Unataka kusema unapokamua mafuta ya karanga, alizeti, mtama nk unatengeneza Carbon dioxide? Ninavyofahamu mie ni kwamba European Union wameshatanganza kabisa hadi mwaka (...nimesahau ila waweza kuzipata hizi data) inabidi mafuta yote yanayouzwa kwenye petrolstation lazima yawe na asilimia zaidi ya tano kama sikosei ya mafuta ya biodisel. Tatizo ni kuwa kuna ugomvi mkubwa sana kati ya wauza mafuta ya kawaida na hawa wa biodisel. Wauza mafuta (diesel/petrol) wanadai kuwa biodisel zinaharibu Injini. Na kwa sababu wao ni matajiri sana (hata Tanzania utaona nguvu zao) huwalazimisha watengeneza magari (lobbing) kusema kuwa walisemalo ni kweli.

Mkuu, naona ni kutokuelewana tu, msingi wa hoja yangu sio kukamua tu mafuta ya alizeti au karanga...nazungumzia mchakato/process nzima ya kuyapata hayo mafuta hadi yafikie kutumika kwenye injini za magari kitaalamu wanaita Life cycle analysis.

labda nitoe usuli (background) ya hili suala la biodieasel/bioethanol au biofuel kwa ufupi. Ni kwamba kutokana na kuongezeka kwa ujoto duniani kunakosababishwa na wingi wa carbon dioxide angani pamoja na gesi nyingine, imekuwepo haja ya kutafuta nishati mbadala ya mafuta ya kawaida ya petroli.dieasel ambayo ndiyo yanachangia kwa kiasi kukubwa utoaji wa hewa hizo 'chafu'.

Sasa basi, kuna waliokuja na hii idea ya kulima mimea inayoweza kutoa mafuita mbadala. Kwa mfano, marekani na brazili zinachangia zaidi ya nusu ya mafuta ya aina hii duniani, marekani wakilima zaidi corn(mahindi) huku brazil wakilima zaidi miwa na soya.

Ni kweli ulivosema EU wametoa Directive hiyo, kitaalamu inaitwa blending, ili kupunguza utegemezi katika mafuta ya petroli na pia kupunguza ongezeko la kitisho cha climate change.

Hoja yangu ni kwamba utafiti unaonyesha, na kama ukipenda nitakupa reference, kuwa ulimaji wa haya mazo ya nishati (biofuels) sio kweli kuwa unatatua tatizo la ongezeko la joto. Na ni kwa sababu utafuti umesonesha kuwa kuanza kulima, kuclear misitu, mbolea zinazotumika, mashine viwandani (kumbuka vitatumia mafuta ya kawaida pia) vyote hivi vinarelease carbon dioxide pamoja na hewa nyingine angani, na ile end product inayopatikana, ikitumika, kiwango cha carbon dioxide kitakachopunguzwa angani nikidogo kuliko kilichoongezwa kwa sababu ya the whole production process. upo hapo mkuu?

Juu ya ukulima pia si kweli. Hapa unakwenda pembeni ya ukweli. Kuna nchi kama Mali zinalima sana hili zao na Mali kama unavyofahamu ni kukavu kukavu hivi. Kwa Mazingira ya Tabora na ukichukulia kuwa Tabora kuna ardhi kubwa sana, basi hizi zao la Jetropha ni zao safi sana. Kwanza litasaidia kuuwa zao la Tumbaku, zao ambazo linachosha sana wakulima (yaani jamaa wa umri wangu wamekuwa kama wazee wangu), inabidi kila mwaka kulima shamba jipya na inapokuja kwenye kukausha, inabidi ukate miti mingi sana.

mkuu ni kweli tabora kilimo cha tumbaku ni kigumu. lakini sio kweli kuwa tabora kuna ardhi kubwa...unajua wenzetu wa ulaya na kwingineko ndivyo wanavotudanganya, kuwa tuna ardhi kubwa, yet tuna migogoro kila kukicha ya kugombea ardhi! Sina data za mali especially on global production ya biodiesel from jatropha, lakini suluhisho la watu wa tabora kamwe haliwezi kuwa kwenye kulima mibono. kwa nini? kama nilivosema, ili kuweza kuwa economically viable lazima watahitaji kufyeka eneo kubwa sana na hiyo inaturudisha kwenye hoja yangu hapo juu. Na hili ni most likely kwa sababu kwa sasa hatuna soko la ndani kwa maana ya magari yenye teknolojia ya kutumia hiyo biodiesel from jatrofa, kwa hiyo wakulima watajikuta wamedanganyika tena!


Hivyo kwa zao hili, huyu bwana NAMPA 5 ya nguvu. Kwa sasa kuna Dr. Yongolo na kundi lake la watu wa Sikonge, wako katika kulifagilia hili zao kwa kutoa shule, kugawa mbegu na kuhakikisha kuwa Sikonge inapata zao la kudumu na kuachana na Tumbaku ambalo kila mwaka inabidi ulime. Na ukija kwenye kuacha kilimo kingine na kuanza kulima Mibono, hili si kweli. Kama nilivyosema hapo juu, sisi huku Sikonge, miaka nenda miaka rudi tumekuwa tukilima Tumbaku na kulima Mazao mengine. Mibono itatufanya tupunguze kazi kwenye mibono (inabaki tu kutunza) na kuongeza muda na nguvu kwenye mazao mengine ya chakula.

Mkuu, again, nakubali kuwa tumbaku ni zao ambalo ni labor intensiv. kama mwana Sikonge mwenye uzalendo kweli na wilaya yako (hasa kutokana na mabandiko yako hapa JF), say no to Jatropha kwa watu wa sikonge. Unakaribisha umaskini zaidi. huo walio nao unawatosha mkuu.


Data zako kweli zinafurahisha. Sijui utafanya kazi kampuni gani la mafuta.

Again kwenye hili, niseme tena no, sipo huko mkuu, labda kama una hoja nyingine!


FMes, hili zaomutaona litakavyoanza kupigwa vita bungeni kwani kabla haya mafuta hayajaanza kuuzwa petro-stations, itabidi bunge/serikali itoe kibali, na hapa ndipo mtawaona hawa jamaa wa makampuni ya mafuta wakianza kutanua MSULI WAO.

MUNGU IBARIKI TANZANIA
wabunge inabidi wahauriwe kuwe na sera , kanuni na sheria ambazo zitatuongoza kwenye hili. Tusiingie kichwa kichwa tu.

respect.
 
- Wakuu ahsante sana kwa ushauri mzito, ninaupitia na nitamfikishia Mkulu wangu Mike, kwa kweli kijana amejitahidi sana kwa sababu pamoja na huu mradi pia ana mradi wa maua na bakery ya cakes, kwa hiyo kama uko majuu unataka kumtumia maua au cake umpendaye bongo, yeye anakufanyia tena bila tatizo na delivery juu yake,

- Soon nitaleta info zote za shuguli zake na namna ya kuagizia ukitokea majuu, binafsi I am impressed na Mike, maana kwa kweli tunahitaji mifano kama hii, Mungu ambarikie afanikiwe!

Respect.

FMEs!
 
labda nitoe usuli (background) ya hili suala la biodieasel/bioethanol au biofuel kwa ufupi. Ni kwamba kutokana na kuongezeka kwa ujoto duniani kunakosababishwa na wingi wa carbon dioxide angani pamoja na gesi nyingine, imekuwepo haja ya kutafuta nishati mbadala ya mafuta ya kawaida ya petroli.dieasel ambayo ndiyo yanachangia kwa kiasi kukubwa utoaji wa hewa hizo 'chafu'.

Sasa basi, kuna waliokuja na hii idea ya kulima mimea inayoweza kutoa mafuita mbadala. Kwa mfano, marekani na brazili zinachangia zaidi ya nusu ya mafuta ya aina hii duniani, marekani wakilima zaidi corn(mahindi) huku brazil wakilima zaidi miwa na soya.

Ni kweli ulivosema EU wametoa Directive hiyo, kitaalamu inaitwa blending, ili kupunguza utegemezi katika mafuta ya petroli na pia kupunguza ongezeko la kitisho cha climate change.

Hoja yangu ni kwamba utafiti unaonyesha, na kama ukipenda nitakupa reference, kuwa ulimaji wa haya mazo ya nishati (biofuels) sio kweli kuwa unatatua tatizo la ongezeko la joto. Na ni kwa sababu utafuti umesonesha kuwa kuanza kulima, kuclear misitu, mbolea zinazotumika, mashine viwandani (kumbuka vitatumia mafuta ya kawaida pia) vyote hivi vinarelease carbon dioxide pamoja na hewa nyingine angani, na ile end product inayopatikana, ikitumika, kiwango cha carbon dioxide kitakachopunguzwa angani nikidogo kuliko kilichoongezwa kwa sababu ya the whole production process. upo hapo mkuu?



mkuu ni kweli tabora kilimo cha tumbaku ni kigumu. lakini sio kweli kuwa tabora kuna ardhi kubwa...unajua wenzetu wa ulaya na kwingineko ndivyo wanavotudanganya, kuwa tuna ardhi kubwa, yet tuna migogoro kila kukicha ya kugombea ardhi! Sina data za mali especially on global production ya biodiesel from jatropha, lakini suluhisho la watu wa tabora kamwe haliwezi kuwa kwenye kulima mibono. kwa nini? kama nilivosema, ili kuweza kuwa economically viable lazima watahitaji kufyeka eneo kubwa sana na hiyo inaturudisha kwenye hoja yangu hapo juu. Na hili ni most likely kwa sababu kwa sasa hatuna soko la ndani kwa maana ya magari yenye teknolojia ya kutumia hiyo biodiesel from jatrofa, kwa hiyo wakulima watajikuta wamedanganyika tena!


Mkuu, again, nakubali kuwa tumbaku ni zao ambalo ni labor intensiv. kama mwana Sikonge mwenye uzalendo kweli na wilaya yako (hasa kutokana na mabandiko yako hapa JF), say no to Jatropha kwa watu wa sikonge. Unakaribisha umaskini zaidi. huo walio nao unawatosha mkuu.

Kaizer,

Nikujibu kwa ufupi tu.
Kwanza asante sana kwa majibu. Umejibu vizuri katika swala la productions ya biodisel. Umenikumbusha wakati napata shule mambo ya ecology katika transport kwamba "wengine hufikiri kwasababu train za umeme hazitowi moshi, basi haziharibu mazingira kwa kutokutowa CO2 ila wanasahau kuwa train pia linatumia energy (umeme) ambao inabidi sehemu fulani uzalishwe na wakati huo wanatengeneza CO2. Ila je, kama umeme unazalishwa kwa nguvu nyingine kama Nyuklia au nguvu ya upepo? Hapo utakuwa na train kweli lisilotowa CO2.

Ukichukulia mfano hapo juu, nitasema kitu kimoja. Mara ya kwanza kuona mtu anatumia biodisel ilikuwa ni kwenye TV, kama sikosei CNN na walionyesha Mzungu mmoja huko Zimbabwe ambaye alikuwa akifanya kazi zake zote kwa kutumia mafuta ya alizeti. Alilima alizeti na mitambo yote kuanzia matrakta hadi mashine za kuzalishia mafuta, zilikuwa zinafanya kazi kwa kutumia hayo mafuta ya alizeti. Kumbuka kuna magenerator yanatumia mafuta kama haya kuzalisha umeme, sasa kwa nini umeme huo usiendeshe mitambo ya kuzalishia mafuta yatakayotumika kuzalishia mafuta mengine?
Hapa nina maana kuwa kama ilivyo INJINI ya gari, ndiyo maana ikaitwa AUTOMATIC (Car, Guns etc) ambazo hujiendesha zenyewe. Hii unaweza kuiona vizuri jinsi pistol za gari zinavyofanya kazi, kwa kulazimisha moja iende juu na wakati huo nyingine inakwenda chini na kuzalisha pressure na joto kubwa linalosababisha mlipuko mwingine na hapo gari linakwenda bila mtu kuhangaika sana so longer mafuta yapo.

Juu ya ardhi kwa Sikonge, mhhh. Ardhi kweli ipo kubwa si mchezo. Wanapigana huko Kilimanjaro na Morogoro, ila Sikonge eti watu wanagombea ardhi, ni ushamba fulani tu na uvivu wa kwenda kilomita moja zaidi na kujiwekea ekari hata 1,000 za kwako bila ya kusumbua watu. Ndiyo maana huku ni masikini sana maana hata kama cha mikono hufiki popote na eneo ni kama enzi za Mirambo.
Kama unataka niseme NO TO MIBONO, unataka watu wa Sikonge waendelee kulima TUMBAKU siyo? Au unatupa kitu gani zaidi ya Mibono? Tumbaku imekaa miaka zaidi ya 30 na imeleta/inaleta madhara makubwa zaidi ya faida. Ntashukuru sana kama utatuambia sisi wa Sikonge tulime/tufanye nini ili tuachane na Tumbaku.
 
Not a new idea...
there is an organisation in Rukwa doing this and soon they will be having their first harvest of jatropha and first production of the Biofuel. I had lots of interview with them and was almost becoming their employee in 2007.
Check them @: From Jatropha to biofuel - PROKON Renewable Energy Ltd.

However as it has been said the whole process would affect food production? If my geography is correct i think Rukwa is among those regions blessed with heavy rainfalls and good weather. This to me implies that the land that was to be used for food crops will eventually turn into cash crop and soon the so called food basket will no longer be there!!
The other thing is that even though this plant has high potential in delivering plant oil still there will be a need to blend it with organic diesel to improve its capability and suitability for use in engines!!

I'm still gathering more info and will come with some concrete facts, I still thank all for opening up to this idea, it is for us to get the better use/applications for it!!

Kudos!
 
Not a new idea...
there is an organisation in Rukwa doing this and soon they will be having their first harvest of jatropha and first production of the Biofuel. I had lots of interview with them and was almost becoming their employee in 2007.
Check them @: From Jatropha to biofuel - PROKON Renewable Energy Ltd.

However as it has been said the whole process would affect food production? If my geography is correct i think Rukwa is among those regions blessed with heavy rainfalls and good weather. This to me implies that the land that was to be used for food crops will eventually turn into cash crop and soon the so called food basket will no longer be there!!
The other thing is that even though this plant has high potential in delivering plant oil still there will be a need to blend it with organic diesel to improve its capability and suitability for use in engines!!

I'm still gathering more info and will come with some concrete facts, I still thank all for opening up to this idea, it is for us to get the better use/applications for it!!

Kudos!

Dmussa,

Naona kweli hujafanya homework. Kumbuka pia kwamba, Mibono ni miti na si sawa na tumbaku. Hii ukiipanda basi utakaa miaka kibao ukienda tu kuvuna matunda. Sasa ile kampeni ya Kata mti Panda mti si ndiyo hiyo?

Rukwa na Sikonge ni ndugu mmoja kabisa. Ukivuka tu msitu, umeshaingia Urwila, na kama sikosei huko kuna Wanyamwezi kama kazi. Sasa kwa hali hiyo, hata huko misito ni kibao. Cha muhimu kufanya ni kuwa lazima iwepo control ya misitu ili isije ikakatwa yote. Hatuwezi kuwa watumwa wa hili. Ni sawa na nchi zilizoendelea. Wanajua kuwa usafiri unaharibu mazingira, ila unaona hata China, ndiyo kwanza ananunua HUMMER.

Lazima tujue ku-keep mazingira na tubalance na business as usual.
 
pia ardhi inayooonekana kuwa marginal ikukbukwe kuwa inatumika kwa ajili ya mifugo, na wanyamapori....hili suala la kuwa kuna ardhi ambayo haitumiki sio entirely true.

Unaongelea mkoa wa Kilimanjaro ambako ardhi kweli haitoshi? Kumbuka ardhi unayosema inatumika ni kwa uchungaji sio ufugaji. Tunapaswa tutoke huko, halafu sio kweli kwamba Tanzania hakuna tuna uhaba wa ardhi kwani iko ya kumwaga. Utoke mijini na utembee toka Kaskazini hadi kusini na mashariki hadi magharibi utakubaliana nami.
 
Unaongelea mkoa wa Kilimanjaro ambako ardhi kweli haitoshi? Kumbuka ardhi unayosema inatumika ni kwa uchungaji sio ufugaji. Tunapaswa tutoke huko, halafu sio kweli kwamba Tanzania hakuna tuna uhaba wa ardhi kwani iko ya kumwaga. Utoke mijini na utembee toka Kaskazini hadi kusini na mashariki hadi magharibi utakubaliana nami.


Mkuu Offish,

Tunaposema Tanzania tuna ardhi ya kumwaga, hebu tuje na facts...tusiseme tu kuwa kuna ardhi ya kumwaga! Ipo kiasi gani?


Mkuu kulingana na FAO, nchi yetu ina hekta milioni 88 zinazojulikana kama agro ecological zones, na kati ya hizi,zinazosemekana kufaa kwa rainfed agriculture ni 55 millioni, na zilizopo kwenye actual use ni kama hekta millioni 10. Hii inakupa picha kwamba tuna hekta kama millioni 44 ambazo zimekaa tu 'hazina kazi'.

Kinachonitia wasi wasi ni kwamba kwa muda wa miaka kama mitatu, ardhi ipatayo kama hekta millioni nne (yes, 4 million) imeshaombwa kutoka TIC kwa ajili ya kulima biofuels, na hii ni kutokana na makampuni takribani 37, ya nje na ya ndani!

kama kuna mtu anahitaji references, pia aniambie tu nitampatia, manake hapa ni dataz tu zinazoongea.

Sasa kwa miaka kumi ijayo au kumi na tano, itakuwa imebaki nini? je, tukiendeleana kasi hii ina maana hakutakuwa na matumizi mengine ya ardhi isipokuwa kwa ajili ya biofuels?

Nilipozungumzia ardhi sikumaanisha Kilimanjaro, namanisha nchi nzima.

Na kuhusu Jatropha, so far inaweze kuonekana kuwa ndio inayohimiliukame kulinganisha na mengine, lakini nawahakikishia kuwa sehemu kubwa ya ardhi inayoombwa ni kwa ajili ya kulima miwa, ambayo inahitaji maji mengi na udongo wenye rutuba.

Ndo maana nasema hapana, tuwe kwanza na utaratibu, hata tukikubaliana kwenda huko, basi tuwe na utaratibu sio kwenda tu ovyo ovyo kisha kesho na keshokutwa wajukuu zetu washindwe kututofautisha na kina sultani mangungo na msovero!
 
Dmussa,

Naona kweli hujafanya homework. Kumbuka pia kwamba, Mibono ni miti na si sawa na tumbaku. Hii ukiipanda basi utakaa miaka kibao ukienda tu kuvuna matunda. Sasa ile kampeni ya Kata mti Panda mti si ndiyo hiyo?

Rukwa na Sikonge ni ndugu mmoja kabisa. Ukivuka tu msitu, umeshaingia Urwila, na kama sikosei huko kuna Wanyamwezi kama kazi. Sasa kwa hali hiyo, hata huko misito ni kibao. Cha muhimu kufanya ni kuwa lazima iwepo control ya misitu ili isije ikakatwa yote. Hatuwezi kuwa watumwa wa hili. Ni sawa na nchi zilizoendelea. Wanajua kuwa usafiri unaharibu mazingira, ila unaona hata China, ndiyo kwanza ananunua HUMMER.

Lazima tujue ku-keep mazingira na tubalance na business as usual.


Mkuu Sikonge, heshima mbele mkuu,

part ya jibu itakuwa kwenye bandiko hapo juu,

lakini kwa kuongezea kuhusu tabora...kumbukumbu yangu inaonyesha kuwa sehemu unayoongelea ni aidha pori la akiba la Ugall, au msitu uliohifadhiwa wa mpanda kaskazini mashariki (mpanda north east forest reserve), so hala hala ardhi ya wenyewe hiyo sio pori!

Kama ulivosema ni muhimu kucontrol misitu isikatwe na am happy tabora wana mpango huo wa afforestation,, muhimu ni kupana miti kwenye maeneo ambayo ni wazi tayari na siyo kukata ambayo hatujaipanda sisi,, tutakaribisha jangwa mapema kabisa.

Kwamba tabora wafanye nini waachane na tumbaku siwezi kuwa na jibu la moja kwa moja , lakini pia siwezi kusema kuwa kulima Jatrofa ndo mkombozi wa wanatabora!
 
- Wakuu ahsante sana kwa ushauri mzito, ninaupitia na nitamfikishia Mkulu wangu Mike, kwa kweli kijana amejitahidi sana kwa sababu pamoja na huu mradi pia ana mradi wa maua na bakery ya cakes, kwa hiyo kama uko majuu unataka kumtumia maua au cake umpendaye bongo, yeye anakufanyia tena bila tatizo na delivery juu yake,

- Soon nitaleta info zote za shuguli zake na namna ya kuagizia ukitokea majuu, binafsi I am impressed na Mike, maana kwa kweli tunahitaji mifano kama hii, Mungu ambarikie afanikiwe!

Respect.

FMEs!

Nadhani umeshaisahau hii posti

Mkuu Uwiano Maalum, ......

- Bwana mdogo Mike amekupa makaratasi yake ya Bio-diesel, wewe umekwenda kuyabdaili majina na kujiweka wew ena namba za simu zako za nyumbani na mkononi eti ni za ofisi, wewe una ofisi wewe mtapeli wewe? Mikartasi yako iko hapa nyumbani kwangu, niliongea na mike akasema hayahitaji tena maana alikupeleka kwa wazungu wake wewe ukajifanya kujua wakaishia kumkatia hata yeye mwizi mkubwa wewe!


Kumbe Mike mwenyewe ndio huyo, sikuwahi kumjua wala kumsikia sasa sijui alinipaje hayo makaratasi. Huo mradi sina hata fununu nao....Sheikh Yahya feki.........
 
Kaizer,
Ukitaka kujua misitu ya Tabora, tena si mbali na Tabora mjini, basi ingia ndani ya GOOGLE EARTH na utapata jibu.

Tabora kuna miti ya MIYOMBO. Hii ni kama nyumbu (wanyama) katika miti. Huku Sikonge, ukiacha shamba hujalilima miaka 5, ukirudi huwezi amini ulikuwa na shamba maana tayari kuna miti mirefu imeota na kukua. Huko unakosema (kama unakwenda Mpanda) si leo Wanyamwezi tutafika huko kwa jembe la mkono. Hebu angalia hawa Wanyamwezi wangu na nipe jibu kama wataweza kulima hata ekari 20.
Album * Moravian Board of World Mission.

Halafu ukimaliza basi jaribu ku-adopt kijana mmoja wa Sikonge.
Nikisema Jetropha itaokoa, nina maana hao watu juu. God bless Tanzania/Sikonge.
 
Nadhani umeshaisahau hii posti




Kumbe Mike mwenyewe ndio huyo, sikuwahi kumjua wala kumsikia sasa sijui alinipaje hayo makaratasi. Huo mradi sina hata fununu nao....Sheikh Yahya feki.........

- Kuku mgeni siku zote hakosi kamba mguuni, na ukiona panafuka moshi basi chini kuna moto mkali sana, sio siri kuna mtu anaungua sasa anajaribu sana kupunguza moto maana ni karibu wiki nne sasa wolf! wolf! kila kona, pole sana ndio ukubwa huo, Bwa! ha! ha!.

FMEs!
 
Kaizer,
Ukitaka kujua misitu ya Tabora, tena si mbali na Tabora mjini, basi ingia ndani ya GOOGLE EARTH na utapata jibu.

Tabora kuna miti ya MIYOMBO. Hii ni kama nyumbu (wanyama) katika miti. Huku Sikonge, ukiacha shamba hujalilima miaka 5, ukirudi huwezi amini ulikuwa na shamba maana tayari kuna miti mirefu imeota na kukua. Huko unakosema (kama unakwenda Mpanda) si leo Wanyamwezi tutafika huko kwa jembe la mkono. Hebu angalia hawa Wanyamwezi wangu na nipe jibu kama wataweza kulima hata ekari 20.
Album * Moravian Board of World Mission.

Halafu ukimaliza basi jaribu ku-adopt kijana mmoja wa Sikonge.
Nikisema Jetropha itaokoa, nina maana hao watu juu. God bless Tanzania/Sikonge.

- Maneno mazito sana mkuu, tupo pamoja sana hapa.

FMEs!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom