Mikataba ya mangungo katika jina la Uwekezaji

Mikataba ya mangungo katika jina la Uwekezaji

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,882
Reaction score
828,451
IMG-20250804-WA0023.jpg


Je, hoja ya Martin Maranja Masese ina ukweli kiasi gani? Je, kama ina ukweli ina madhara au faida kwa kiwango gani? Je, ni nani mchochezi hapa? Je, ni Masese? Ni hao 'waliouza' mali au rasilimali za Watanzania au askofu aliyeposti andiko hili la Masese?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Itunge, Dar es Salaam; 3 Agosti 2025; saa 10:30 jioni.

Mikataba ya MANGUNGO katika jina la UWEKEZAJI

1.Waarabu wa familia ya kifalme Dubai, (DP WORLD) wamepewa kuendesha bandari ya Dar es Salaam kwa mikataba ya kiduanzi unaotajwa miaka thelathini

2.Waarabu wa familia ya kifalme ya Dubai (Blue Carbon LLC) wamepewa kusimamia na kuhifadhi misitu ya Tanzania. Hii ni hekta milioni 8.1 (8% ya ardhi yote)

3.Watu kutoka Russia, (ROSATOM) wamepewa ardhi yenye tani milioni 139 wachimbe madini nadra ya kimkakati ya uranium huko Namtumbo, Ruvuma.

4.Watu wa Australia (URANEX) wamepewa ardhi nzuri wachimbe madini nadra ya kimkakati na graphite Mkoa wa Lindi. Kampuni zao tatu zitauza madini nje

5.Watu wa Canada (BARRICK GOLD) wanaondoka na dhahabu. Hawajajenga hata smelters moja. Wanaacha mashimo na watu wetu kupigwa risasi nyingi.

6.Waarabu familia ya kifalme Dubai (OBC) wameongezewa ardhi 1,500km² kutoka 4,000km² zilizokuwa kwa Maasai wao wamebaki na 2,500km²

7.Watu kutoka Netherlands (SHELL) na Norway (EQUINOR) wamepewa kuchimba gesi asilia katika bahari kuu kusini, eneo la Likong’o, Lindi, Tanzania

8.Waarabu wa Dubai, Emirates National Group (ENG) wamepewa kuendesha huduma katika mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART), Jiji la Dar es Salaam.

9.Watu wa France, Maurel & Prom, wanazalisha gesi asilia, 641 billion cubic feet, Mnazi Bay, Mtwara, ambayo ni 48% ya pato la gesi asilia Tanzania sasa.

10.Kandarasi ujenzi Bwawa la Nyerere (JNHPP) alipewa Egypt. Kandarasi ya ujenzi wa SGR alipewa China na Turkey. Waswahili mtapewa Kanda Bongoman.

MMM, Martin Maranja Masese, Mtikila.
Agosti 2025
IMG-20250804-WA0023.jpg
 
View attachment 3431298

Je, hoja ya Martin Maranja Masese ina ukweli kiasi gani? Je, kama ina ukweli ina madhara au faida kwa kiwango gani? Je, ni nani mchochezi hapa? Je, ni Masese? Ni hao 'waliouza' mali au rasilimali za Watanzania au askofu aliyeposti andiko hili la Masese?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Itunge, Dar es Salaam; 3 Agosti 2025; saa 10:30 jioni.

Mikataba ya MANGUNGO katika jina la UWEKEZAJI

1.Waarabu wa familia ya kifalme Dubai, (DP WORLD) wamepewa kuendesha bandari ya Dar es Salaam kwa mikataba ya kiduanzi unaotajwa miaka thelathini

2.Waarabu wa familia ya kifalme ya Dubai (Blue Carbon LLC) wamepewa kusimamia na kuhifadhi misitu ya Tanzania. Hii ni hekta milioni 8.1 (8% ya ardhi yote)

3.Watu kutoka Russia, (ROSATOM) wamepewa ardhi yenye tani milioni 139 wachimbe madini nadra ya kimkakati ya uranium huko Namtumbo, Ruvuma.

4.Watu wa Australia (URANEX) wamepewa ardhi nzuri wachimbe madini nadra ya kimkakati na graphite Mkoa wa Lindi. Kampuni zao tatu zitauza madini nje

5.Watu wa Canada (BARRICK GOLD) wanaondoka na dhahabu. Hawajajenga hata smelters moja. Wanaacha mashimo na watu wetu kupigwa risasi nyingi.

6.Waarabu familia ya kifalme Dubai (OBC) wameongezewa ardhi 1,500km² kutoka 4,000km² zilizokuwa kwa Maasai wao wamebaki na 2,500km²

7.Watu kutoka Netherlands (SHELL) na Norway (EQUINOR) wamepewa kuchimba gesi asilia katika bahari kuu kusini, eneo la Likong’o, Lindi, Tanzania

8.Waarabu wa Dubai, Emirates National Group (ENG) wamepewa kuendesha huduma katika mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART), Jiji la Dar es Salaam.

9.Watu wa France, Maurel & Prom, wanazalisha gesi asilia, 641 billion cubic feet, Mnazi Bay, Mtwara, ambayo ni 48% ya pato la gesi asilia Tanzania sasa.

10.Kandarasi ujenzi Bwawa la Nyerere (JNHPP) alipewa Egypt. Kandarasi ya ujenzi wa SGR alipewa China na Turkey. Waswahili mtapewa Kanda Bongoman.

MMM, Martin Maranja Masese, Mtikila.
Agosti 2025View attachment 3431298
Ukiwa na akiki za kichawa huez kuelewa hili andiko
 
View attachment 3431298

Je, hoja ya Martin Maranja Masese ina ukweli kiasi gani? Je, kama ina ukweli ina madhara au faida kwa kiwango gani? Je, ni nani mchochezi hapa? Je, ni Masese? Ni hao 'waliouza' mali au rasilimali za Watanzania au askofu aliyeposti andiko hili la Masese?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Itunge, Dar es Salaam; 3 Agosti 2025; saa 10:30 jioni.

Mikataba ya MANGUNGO katika jina la UWEKEZAJI

1.Waarabu wa familia ya kifalme Dubai, (DP WORLD) wamepewa kuendesha bandari ya Dar es Salaam kwa mikataba ya kiduanzi unaotajwa miaka thelathini

2.Waarabu wa familia ya kifalme ya Dubai (Blue Carbon LLC) wamepewa kusimamia na kuhifadhi misitu ya Tanzania. Hii ni hekta milioni 8.1 (8% ya ardhi yote)

3.Watu kutoka Russia, (ROSATOM) wamepewa ardhi yenye tani milioni 139 wachimbe madini nadra ya kimkakati ya uranium huko Namtumbo, Ruvuma.

4.Watu wa Australia (URANEX) wamepewa ardhi nzuri wachimbe madini nadra ya kimkakati na graphite Mkoa wa Lindi. Kampuni zao tatu zitauza madini nje

5.Watu wa Canada (BARRICK GOLD) wanaondoka na dhahabu. Hawajajenga hata smelters moja. Wanaacha mashimo na watu wetu kupigwa risasi nyingi.

6.Waarabu familia ya kifalme Dubai (OBC) wameongezewa ardhi 1,500km² kutoka 4,000km² zilizokuwa kwa Maasai wao wamebaki na 2,500km²

7.Watu kutoka Netherlands (SHELL) na Norway (EQUINOR) wamepewa kuchimba gesi asilia katika bahari kuu kusini, eneo la Likong’o, Lindi, Tanzania

8.Waarabu wa Dubai, Emirates National Group (ENG) wamepewa kuendesha huduma katika mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART), Jiji la Dar es Salaam.

9.Watu wa France, Maurel & Prom, wanazalisha gesi asilia, 641 billion cubic feet, Mnazi Bay, Mtwara, ambayo ni 48% ya pato la gesi asilia Tanzania sasa.

10.Kandarasi ujenzi Bwawa la Nyerere (JNHPP) alipewa Egypt. Kandarasi ya ujenzi wa SGR alipewa China na Turkey. Waswahili mtapewa Kanda Bongoman.

MMM, Martin Maranja Masese, Mtikila.
Agosti 2025View attachment 3431298

Mzee anapata fanta baridi. Maisha ameyapatia. Anamsubiri Kanda Bongoman
 
HAPO akiimaliza HIYO soda kuinywa TENA MPAKA 2030. Nmefanya utafiti nikajiridhisha Wajumbe wana life gumu SANA mkuu ACHA tuu malaana SIJUI



Kwishaaaaaaa
 
Huu ni maradi wa Rostam na Abdul, mpaka sasa hivi hatujafahamu ni % ngapi serikali inapata.
 
Sasa mtu na akili yako unamsikiliza mpuuzi aliyefeli ualimu shule ya msingi?

Hiyo DP World tu efficiency yake waulize watu wa Trucks wakuambie, vitu vingine ni kujidhalilisha tu. Tender ya Dart imetangazwa hamjaomba alafu mnakuja kulalama amepewa mwarabu au mlitaka apewe Lema bure??
 
Hawalipi Kodi?
Kodi ni hiyo hiyo hela waliochuma hapa hapa nchini wanakurudishia kidogo wao wanachukua nyingi .
Yaani mfano bandari .
Ni kama mfugaji amehangaika kumfuga ng'ombe wake kamlisha kamkuza akakua akapata mimba anazaa unatafuta mtu umkodishie awe anakamua maziwa halafu anakulipa wewe sehemu ya fedha na yeye anajilipa.
Huo si ujinga na upumbavu.
Pale bandarini Serikali wakati wa Mrehemu Magufuli ilishawekeza zaidi ya tirion 3 kuongeza kina na alikuwa na mpango wa kununua crane za kisasa .
Kulikuwa hakuna ulazima wa kukodisha bandari ya dar es salaam.
Kwenye u dart serikali imejenga miundombinu imenunua magari kuna haja gani ya kukodisha .
Kimsingi inaonyesha serikali inazembea kwenye usimamizi .
Yaani mtu ufanye kazi kwa zaidi ya %70 halafu kwenye %30 utafute mtu aifanye huku mkigawana mapato wakati wewe umeshawekeza zaidi ya 70% ni ukichaaa na uwendawazimu kqbisa huu
 
Back
Top Bottom