Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Sema umeniangusha kumuita huyo kiumbe Mungu

Andika mungu tu

Stori tamu
 
Inaonekana huyo mwanamke alikuwa mashalaa kweli😀
Mpaka Lwandamagere akikumbuka tafsida inahama.
Tuvumiliane tu.
Hata hivyo anajitahidi Sana ukizingatia kasema sio mwandishi professionally.
Good Lord...!!
Story inazidi kusisimua walaqhi', hiyo habari ya mfupa uliosagwa mpaka moyo umeshtuka jamani kumbe hayo mambo yapo kweli..!?

Halafu boss wetu Lwanda kuna kaneno umekaweka mzee bila hata tafsida, imebidi tuanze kukemea pepo..!!
 
Good Lord...!!
Story inazidi kusisimua walaqhi', hiyo habari ya mfupa uliosagwa mpaka moyo umeshtuka jamani kumbe hayo mambo yapo kweli..!?

Halafu boss wetu Lwanda kuna kaneno umekaweka mzee bila hata tafsida, imebidi tuanze kukemea pepo..!!

Hilo neno linachochea utamu wa story
 
Mimi nataka nifike LUPATU!
Saka kwanza utajiri kisha ndo uende lupata hatari sana sio wachawi tu hata waganga watakuogopa wakikujaribu kuanzia mganga alipewa kazi,jini atakayetumia na mhusika anayetaka kukuroga iwe hata ni mwanamke anataka kukuwekea limbwata lazima tuwapige chepe ndo maana unashauriwa ukiwa na kinga hii uwe muwaz kwa watu wako wa karibu
 
Wakuu habarini za kazi

Kuna jamaa kanifata inbox kaniambia nisimalizie kusimulia hiki kisa kwani anataka kunipatia hela halafu yeye akinunue akiandike kwenye kitabu hivyo nikisimulia chote anaweza akakosa wateja!,Bado hajanambia anataka kunipa bei gani ndo namsubiri anieleze vizuri!

Nyie ndugu zangu mnaonaje?
 

Uwamuzi ni wako mkuu ikikupendeza chukua pesa tu wenye kutaka muendelezo watakutafuta pm kama mimi lkn hujanijibu
 
Nakubali. We jamaa dah mungu akubariki maana unatufungua macho kidogo kuhusu ulimwengu usionekana.


Swali langu hapo hapakuwa Gamboshi ??
 
Achana naye huyo kama anataka kuandika kitabu we mpe connection ya Mzee Nchibaronda ili akakutane na uliyokutana nayo wewe aje aandike kitabu chake vizuri. Endelea kumwaga nondo tu hapa jamvini sisi tupunguze machungu ya bwana jiwe.
 
Aaaaah anazingua yaani mkuu umeanza kututupa tumeanza na wewe mpaka ivii sasa.

We sema tu hata mchango tutatoa Ila endelea mkuu uyo watanzania wapo wengi tutanunua tu hata Kama tumesoma
 
Wanaosoma hapa jf ni wachache sana na kuna watanzania mil 40
Bro malizia kisa chako huyo kama ananunua atauza tu
Uko sahihi...ye amalizie tu hii simulizi then huyo wa kitabu atauza na biashara itafanyika vizuri tu
 
Kaka achana na huyo boya mpka Sasa huu uzi un comment karibia 900 hayo ni makadirio ya watu na wengine comment zimejirudia, cha muhimu kama uliamua kutuhadithia ww malizia tu.wengine matapeli kaka
 
Uamuzi ni wako shekhe story umeileta mwenyew hakuna aliyekulazimisha wala kukuomba.Ukiamua uache poa ukisema uendelee poa!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…