Good Lord...!!
Story inazidi kusisimua walaqhi', hiyo habari ya mfupa uliosagwa mpaka moyo umeshtuka jamani kumbe hayo mambo yapo kweli..!?
Halafu boss wetu Lwanda kuna kaneno umekaweka mzee bila hata tafsida, imebidi tuanze kukemea pepo..!!
Duh! Mkuu upo makini,Ofsa kosea hata spelling mara moja moja.....
Ha ha aisee nimecheka Kwa hiyo mmekemea pepo. Mleta uzi anajua, yani bonge la storyGood Lord...!!
Story inazidi kusisimua walaqhi', hiyo habari ya mfupa uliosagwa mpaka moyo umeshtuka jamani kumbe hayo mambo yapo kweli..!?
Halafu boss wetu Lwanda kuna kaneno umekaweka mzee bila hata tafsida, imebidi tuanze kukemea pepo..!!
Wee jamaa ujue nacheka sana kwenye baadhi ya comments zakoUsijisumbue kuuliza, alishaachaga kujibu
Yeye maepisodi tu
Kwani mkuu tangu mtoa mada aunde tume ya kumpambania umeona anajisumbua kujibu? Utoe maoni, uulize swali, ukere, ufurahishe hana habariWee jamaa ujue nacheka sana kwenye baadhi ya comments zako
the hustle is realMlume Ndago nimependa sana ulivyokua ukitii/kufuata maelekezo huko chini ya maji
Stori ishaanza kukosa Radha Haina hata uzuri wowte yaani ,kisa huko chini itaendelea nachokushauri usilete huo mwendelezo badala ya kusema itaendelea andika hata siku mbili au tano kabisa ikisha kamilika ndo uilete hapo hakuna hata Cha kukielewa ,smart people always doing smart thing