Kulosa ni kufanya nn mkuu? Mchai chai ninatumia kuondoa bajeti ya majani ya chai na nitakuwa nauza fungu jero
kwa hiyo ww upo serious kwenue jukwaa la jokesNiidhani umeandika huu uzi ukiwa serious kumbe umepoteza muda wako kuandika huu upupu, maana kitu ulichokiandika ni kwamba akiwezekani hata uwe bahiri vipi ulichokifanya ni kuja kufurahisha genge tu
😁😁😁😹😹Sikuoni oni humu au shape wa majukumu ya idara nzima hapo nbc?
Nakaziawakati unadhibiti njia za pesa kutoka ongeza na njia za pesa kuingia!, maana unaweza kujikuta unaishi kama shetani halafu hugeuki kuwa malaika!, maana lengo la wewe kufanya hivyo ni baadae kujakuwa malaika so angalia usije ukaliwa na stress!.
halafu acha ushamba unabanaje bajeti kwa kwenda kula kwa wengine unafikiri wenzako hawana bajeti..? huo ni ujinga, panga ratiba yako yachakula.
Ofisi yetu ipi hiyo mkuu?Unakazia wap mkuu ofisi yenu imenifanyia interview n kaz haijanipa
Tulia Yesu azaliwe kwanzaMikocheni pale garden road
Sawa mkuu nitafanya hivyoWakumbushie mkuu mana cv hii ya kwangu sijagushi wasinipime kwa macho