beefinjector
JF-Expert Member
- Jul 23, 2009
- 2,191
- 2,148
da! We jamaa umetisha..
Kila nikisikiliza za D nob kipindi ile namkubali mika mwamba..elimu mtaani dot com na sauti ya galama..nakumbuka saida kila wimbo aliishukuru FM studio kipind hicho..ila chidi kafanya nae ngoma juzi tu ni kali aisee.
Baada ya mika mwamba mkali mwingine majani,wengine wahuni.
Correction, "Sauti ya Gharama" ni mkono wa Majani, sio Miika.