ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Kwa mtazamo wangu huyu jamaa alichangia kwa kiasi kikubwa ktk fani ya bongo fleva. Bahati mbaya haongelewi sana pamoja na kuwatengenezea 'mental' wasanii wengi wa mwanzo mwanzo wa muziki huu kabla mafisadi wa bongo fleva hawajaichakachua hii fani.
Binafsi hunikumbusha mbali nisikilizapo biti zake ktk muziki wa kina Dully, Wagosi, Sugu na wengineo. Jamaa anastahili mchango wake kutambuliwa na kuthaminiwa. Ni ajabu ni nadra sana kuwasikia watu wakimuongelea kwa maana ya kumpa heshima yake ktk kukuza fani. Amesaidia kuwatoa wengi ktk fani. Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.
Mbaki salama, nawapenda wote siku zote!
Binafsi hunikumbusha mbali nisikilizapo biti zake ktk muziki wa kina Dully, Wagosi, Sugu na wengineo. Jamaa anastahili mchango wake kutambuliwa na kuthaminiwa. Ni ajabu ni nadra sana kuwasikia watu wakimuongelea kwa maana ya kumpa heshima yake ktk kukuza fani. Amesaidia kuwatoa wengi ktk fani. Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.
Mbaki salama, nawapenda wote siku zote!