Mika Mwamba: Avumaye baharini..............!

ndyoko

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
4,971
1,650
Kwa mtazamo wangu huyu jamaa alichangia kwa kiasi kikubwa ktk fani ya bongo fleva. Bahati mbaya haongelewi sana pamoja na kuwatengenezea 'mental' wasanii wengi wa mwanzo mwanzo wa muziki huu kabla mafisadi wa bongo fleva hawajaichakachua hii fani.

Binafsi hunikumbusha mbali nisikilizapo biti zake ktk muziki wa kina Dully, Wagosi, Sugu na wengineo. Jamaa anastahili mchango wake kutambuliwa na kuthaminiwa. Ni ajabu ni nadra sana kuwasikia watu wakimuongelea kwa maana ya kumpa heshima yake ktk kukuza fani. Amesaidia kuwatoa wengi ktk fani. Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.

Mbaki salama, nawapenda wote siku zote!
 
Yeah ..its true..jamaa kapiga kazi za maana kama kamanda ya daz nundaz, hip-hop mdundiko ya mambo jambo etc....tena jamaa ni producer wa kweli sio hawa wenzangu na mie wazeee wa sampling mwanzo mwisho...

Tatizo jamaa ni foreigner soo inabidi upendeleo wa kihistoria uwabebe wazawa kama ilivyokuwa suala la mapinduzi ya zenji na kina okelo...ni maoni tuu
 
Yeah ..its true..jamaa kapiga kazi za maana kama kamanda ya daz nundaz, hip-hop mdundiko ya mambo jambo etc....tena jamaa ni producer wa kweli sio hawa wenzangu na mie wazeee wa sampling mwanzo mwisho...

Tatizo jamaa ni foreigner soo inabidi upendeleo wa kihistoria uwabebe wazawa kama ilivyokuwa suala la mapinduzi ya zenji na kina okelo...ni maoni tuu

Duuuuuuuuuuu! Mkuu usitaje tena hiyo muziki aisee, ntatoka machozi, aiseee. Unanikumbusha mbali mzee, usimalizie aisee ishia hapo hapo!
 
Kweli mkuu.
Mika Mwamba alikuwa mwamba hasa enzi zile za Fm Studio...!
Na kuna nyimbo alifanya zitaendelea kuwa classic kwenye historia ya music wetu, ngoma kama "Balozi bado nipo" (kwenye fani) au ile ngoma ya Tamara ameimba Hard Mad na Fatma....
Jamaa pia amekuwa na mchango mkubwa kwenye hiphop, kipindi kile anawatoa Mambo Jambo aliweza kuungazisha hiphop ya Africa nakumbuka aliwaletaga wasenegal flani hivi wakafanya hardcore moja hivi ilikuwa balaa sana,
pia ni lazima watu wakumbuke D-knob alitolewa na huyo Zeruzeru (alitungwa ilo jina mwishoni) album ya kwanza ya mtaani tu ya D-knob haikuwa rasmi iliitwa Cossovo, na track zilizokuwa zinamtambulisha zilikuwa ni hyo cossovo na Kibongo stance!
McDee kabla hajaenda kwa Master J amelelewa sana pale Fm na Mika Mwamba, unaikumba homa ya jiji? Ila baadae Majani aliirudia nadhani.
Mika Mwamba alikuwa ni Sound Engineer hvyo aliweza ku-compose music za aina nyingi sana na hvyo alichangia sana kutuletea hichi ambacho leo tunakiita bongo fleva.
Nakubaliana na "who cares" uzawa ndio umemfanya asisike tena ila pia kukosekana kwa soko lililokuwa organized kulipelekea jembe kama lile kupotea,
nadhani amerudi kwao!
Kweli, heshima za pekee kwa Mika Mwamba Zeruzeru!
 
Kweli kabisa anastahili heshima,kwa mchango wake mkubwa cha ajabu hata wale aliowatoa,hawamkumbuki hata kwa big up kwenye nyimbo zao,ama kweli tenda wema uende zako.
 
daaah anastahili kuja kuvikwa nishani ya utumishi wa muda mrefu na uliotukuka kwa kweli,,,,
 
amuongelei kabisa ingawa aliwafanyia kazi nyingi. Binafsi huwa sielewi kabisa, si ndo mambo ya ndumba za hawa maprodyuza kwa wanamuziki wetu? Iweje miaka nenda miaka rudi, jamaa huwa hawamtaji kabisa kama ni mmoja wa watu walowasaidia kutoka coz of biti zake
 
Mika alitengeneza beat ya "Mtoto wa geti kali" wa Inspector Haroun, mpaka leo bado nasikiliza hiyo track sababu ya beat ile. Ilileta mapinduzi, ilikuwa kali mno..
 
Mika mwamba alibadili muziki wa kizazi kipya kwa kutoa tracks kama Kamanda na Barua za Daz Nundaz pia ndio aliyemweka Dully Sykes kwenye ramani ya music..Saida Caroli nyimbo zake za mwanzo pia nazani zilitengenezwa Jembe mika ...alirudi kipindi fulani akatengeneza nyimbo iliyotamba sana ya Temba ,Chege,Feruz ,YP na Y-Dash kituTwende Zetu. Pia alimweka Mad Ice kwenye Ramani ya music bila kusahau nyimbo za za Twanga enzi zile Busu la 2001 aliweka fulu mikono yake ...Jamaa anatisha mpaka kesho...
 
amuongelei kabisa ingawa aliwafanyia kazi nyingi. Binafsi huwa sielewi kabisa, si ndo mambo ya ndumba za hawa maprodyuza kwa wanamuziki wetu? Iweje miaka nenda miaka rudi, jamaa huwa hawamtaji kabisa kama ni mmoja wa watu walowasaidia kutoka coz of biti zake
Mika Mwamba aliona muziki hauna muelekeo kabisa na kiukweli alifanya muziki kwa mapenzi yake tu! Alikuwa msomi na mwenye uwezo wa kutengeneza muziki wowote hata zile nyimbo za Kikatoliki!!
 
Mika mwamba alibadili muziki wa kizazi kipya kwa kutoa tracks kama Kamanda na Barua za Daz Nundaz pia ndio aliyemweka Dully Sykes kwenye ramani ya music..Saida Caroli nyimbo zake za mwanzo pia nazani zilitengenezwa Jembe mika ...alirudi kipindi fulani akatengeneza nyimbo iliyotamba sana ya Temba ,Chege,Feruz ,YP na Y-Dash kituTwende Zetu. Pia alimweka Mad Ice kwenye Ramani ya music bila kusahau nyimbo za za Twanga enzi zile Busu la 2001 aliweka fulu mikono yake ...Jamaa anatisha mpaka kesho...

Ni kweli Miika Mwamba ni kichwa sana. Miaka ya 2007 kuja 2010 alikuwa akiwatengenezea Waganda kadhaa beats kule Kampala, habari hii niliipata kwenye blogs za Waganda. Ni kukossa shukrani kwa wasanii kama Dully, Temba (Manduli Mob), Saida na D Knob ambakokusababisha jamaa asisikike kabisa katika anga la muziki Tanzania. Album nzima ya Dully Sykes ya 'Historia ya Kweli' yenye nyimbo za Julieta, Tamika, Nyambizi na Salome kaitengeneza Mwamba. Album ya saida ya kwanza kabisa 'Engonzi' kaitenegeneza yeye pia, akiwa FM studio. Album za Tamtam, enzi za Muumini Mwinjuma katengeneza yeye pia. Mwanamuziki aliyetokomea wa Uganda, Ziggy D pia katolewa na Mwamba. Wasanii hawa wawe wanamkumbuka katika nyimbo zao gwiji huyu.

 
da! We jamaa umetisha..
Kila nikisikiliza za D nob kipindi ile namkubali mika mwamba..elimu mtaani dot com na sauti ya galama..nakumbuka saida kila wimbo aliishukuru FM studio kipind hicho..ila chidi kafanya nae ngoma juzi tu ni kali aisee.
Baada ya mika mwamba mkali mwingine majani,wengine wahuni.
 
Asanteni sana nyote. Sina mengine zaidi, ni kushukuru tu, kwamba bado wapo wa kukumbuka na kuthamini juhudi zangu za enzi hizo. Aminia!

09:52 16th February 2012!......BTW is there any relation btwn you and fundi samweli?.
 
Alikuwa na kiki na snare ambayo ilikuwa ikimtambulisha kama yeye

Kama mkubwa Timberland
 
Miika mwamba ......nikisikia jina hili mimi moja kwa moja naenda kwa d knob na elimu mitaani original..... Pia kuna wimbo wa jamaa alikua anajiita jiti ft waziri sonyo wimbo ndoto tata.... Kuna mad ice na babygal.... Mwamba was and is the best music producer aliewahi kutokea tz.... Pia kuna wengine kama amit mentor pia wasisahauliwe
 
Asanteni sana nyote. Sina mengine zaidi, ni kushukuru tu, kwamba bado wapo wa kukumbuka na kuthamini juhudi zangu za enzi hizo. Aminia!

Upo juu sana ingawa kijana wako Only Face amepoteza dira kabisa anahitaji ushauri nasaha ni mlevi mbwa na amekua mwehu kabisa
 
Back
Top Bottom