Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,876
- 33,308
Nilipata kusikia kuwa Kitulo ndiyo ipo juu zaidi
Itakuwa kama mbeya au makete..Tukuyu je?
Baridi lake hapo kitulo, sijawahi kulihisi sehemu nyingine yoyote.!Nilipata kusikia kuwa Kitulo ndiyo ipo juu zaidi
Mji wa Tukuyu sio sehemu ya mji wa MbeyaNi sehemu ya mbeya
ila nashukuru Mleta mada kanirudisha shule ya msingiNadhani hajamuelewa vyema mleta maada amemaanisha nini
mimi niko hapa kwetu, unaona Posta,kkoo yani mji wotee unauona Uwanja wa TaifaUmeniwahi nilishaanza kufikiria bonyokwa, goba, salasala na ukipita maeneo hayo bahari unaichungulia tu kwa chini. BTW VP khs makambako kwa mtazamo tu bila vipimo nahisi kama pako juu kuliko mafinga na njombe
Humu kuna watu ambao wako interested na project mbalimbali katika taaluma zao kwa hiyo ni faida mojawapo ya kujua altitude za kijiografia ambapo ndio zinatambulisha hali/tabia ya nchi ya sehemu husika.
Kagera pia iko juu toka usawa wa Elimu.Kagera je?
Ingia kwenye hii link: www.whatismyelevation.comNjoo na ushahidi
Mwezi uliopita nilipita Kitulo nikiwa natokea Makete kwenda Mbeya. Baridi la pale si mchezo. Kuna ukungu moja hivi huwa unatokea kiasi kwamba wenyeji wanasema ikifika kuanzia saa 12 jioni inakuwa taabu sana kuendesha gari...Baridi lake hapo kitulo, sijawahi kulihisi sehemu nyingine yoyote.!
Kabisa maana mlima Kilimanjaro ambao ndio umeinuka zaidi barani Afrika kutoka usawa wa bahari haufikii kiwango hicho cha mwinukoLa
Zitakuwa futi mkuu.
Iko maketeKitulo?
Mkoa wetu mpya wa Songwe kama vipimo vikifanywa tena na kutokana na uharibifu wa mazingira kama uchimbaji wa michanga sisi tunaweza tukawa mita 2300 toka usawa wa bahariTukuyu je?
Really??O.4°c
Hakiki elimu yakoUsawa wa bahari ndo kitu gan mana toka s/m had o level sikubahatika kujua maana ya usawa wa bahari