Miji ya Tanzania haina open space, public garden, sport centre inasikitisha sana

Miji ya Tanzania haina open space, public garden, sport centre inasikitisha sana

Dennis Robert Shughuru

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2024
Posts
4,124
Reaction score
6,141
Miaka ya 90 kurudi nyuma open space zilikuwepo ila ghafla miaka ya 2000 kuelekea 2010's zikaanza kuota mbawa sasa hivi kwenye miji yetu hakuna public garden, open space na sport centre to be honest hali ni mbaya

Sehemu kama dsm hali ni mbaya zaidi sababu unaweza tembea km 10 hakuna open space, garden au sport centre kinachosaidia kwa mbali ni yale maeneo nguzo za umeme mkubwa wa taifa zinapopita hizo sehemu ndo zimesalimika

Miji mingine midogo open space zipo ila ni kwa sababu miji haijakuwa siku kukiwa na ongezeko kubwa la watu zitaota mbawa

Watoto wa sasa hivi hawana maeneo ya kuchezea nawaonea huruma sana utoto wao ni mgumu

Kuna mda mtu unatafuta hata eneo la kwenda kutuliza akili hamna kwa wale wanywaji wanalazimika kwenda bar

Kuna mda najiuliza hivi hatuoni umuhimu wa kuwa na public garden mfano wa yale maeneo ya jeshi yaliyotengwa

MIMI NIKIWA RAIS KUTAKUWA NA PUBLIC GARDEN, OPEN SPACE NA SPORT CENTRE SERIKALI YANGU ITAKUA TAYARI KULIPA WATU FIDIA ILI HAYO MAENEO YAWEZE KUTENGWA

Yale maeneo yaliyotengwa na serikali na kuchukuliwa kihuni yatarudishwa bila fidia uzuri mmoja ramani zipo labda zichomwe moto zote

Kuna mda najiuliza sisi waafrika na watanzania tuna-allergy na vitu vizuri kwa sababu watu hawajali kabisa

 
Tumejaza wapima waliosoma chuo cha ardhi hawana exposure totote zaidi ya kukata viwanja

Bahati mbaya na viongozi nsio wanaongoza kujipa open spaces
 
Masoko yapo barabarani badala yakutengewa sehemu zake,,alafu utegeme foleni kuisha..,🤔
 
Miaka ya 90 kurudi nyuma open space zilikuwepo ila ghafla miaka ya 2000 kuelekea 2010's zikaanza kuota mbawa sasa hivi kwenye miji yetu hakuna public garden, open space na sport centre to be honest hali ni mbaya

Sehemu kama dsm hali ni mbaya zaidi sababu unaweza tembea km 10 hakuna open space, garden au sport centre kinachosaidia kwa mbali ni yale maeneo nguzo za umeme mkubwa wa taifa zinapopita hizo sehemu ndo zimesalimika

Watoto wa sasa hivi hawana maeneo ya kuchezea nawaonea huruma sana utoto wao ni mgumu

Kuna mda mtu unatafuta hata eneo la kwenda kutuliza akili hamna kwa wale wanywaji wanalazimika kwenda bar

Kuna mda najiuliza hivi hatuoni umuhimu wa kuwa na public garden mfano wa yale maeneo ya jeshi yaliyotengwa

MIMI NIKIWA RAIS KUTAKUWA NA PUBLIC GARDEN, OPEN SPACE NA SPORT CENTRE SERIKALI YANGU ITAKUA TAYARI KULIPA WATU FIDIA ILI HAYO MAENEO YAWEZE KUTENGWA

Yale maeneo yaliyotengwa na serikali na kuchukuliwa kihuni yatarudishwa bila fidia uzuri mmoja ramani zipo labda zichomwe moto zote

Kuna mda najiuliza sisi waafrika na watanzania tuna-allergy na vitu vizuri kwa sababu watu hawajali kabisa

To Deal With High IQ People: Master Persuasion And Negotiation.

To Deal With Low IQ People: Carry A Big Stick And Look Like You're Willing To Use It
 
Miaka ya 90 kurudi nyuma open space zilikuwepo ila ghafla miaka ya 2000 kuelekea 2010's zikaanza kuota mbawa sasa hivi kwenye miji yetu hakuna public garden, open space na sport centre to be honest hali ni mbaya

Sehemu kama dsm hali ni mbaya zaidi sababu unaweza tembea km 10 hakuna open space, garden au sport centre kinachosaidia kwa mbali ni yale maeneo nguzo za umeme mkubwa wa taifa zinapopita hizo sehemu ndo zimesalimika

Watoto wa sasa hivi hawana maeneo ya kuchezea nawaonea huruma sana utoto wao ni mgumu

Kuna mda mtu unatafuta hata eneo la kwenda kutuliza akili hamna kwa wale wanywaji wanalazimika kwenda bar

Kuna mda najiuliza hivi hatuoni umuhimu wa kuwa na public garden mfano wa yale maeneo ya jeshi yaliyotengwa

MIMI NIKIWA RAIS KUTAKUWA NA PUBLIC GARDEN, OPEN SPACE NA SPORT CENTRE SERIKALI YANGU ITAKUA TAYARI KULIPA WATU FIDIA ILI HAYO MAENEO YAWEZE KUTENGWA

Yale maeneo yaliyotengwa na serikali na kuchukuliwa kihuni yatarudishwa bila fidia uzuri mmoja ramani zipo labda zichomwe moto zote

Kuna mda najiuliza sisi waafrika na watanzania tuna-allergy na vitu vizuri kwa sababu watu hawajali kabisa

Hazipo kwasbabu wanahofia watu kukusanyika na kwandamana ni hateri kwa serikali sio Tanzania almost nchi nyingi zenye fragile democracy zina hofu, za kua na freedom Square
 
Miaka ya 90 kurudi nyuma open space zilikuwepo ila ghafla miaka ya 2000 kuelekea 2010's zikaanza kuota mbawa sasa hivi kwenye miji yetu hakuna public garden, open space na sport centre to be honest hali ni mbaya

Sehemu kama dsm hali ni mbaya zaidi sababu unaweza tembea km 10 hakuna open space, garden au sport centre kinachosaidia kwa mbali ni yale maeneo nguzo za umeme mkubwa wa taifa zinapopita hizo sehemu ndo zimesalimika

Watoto wa sasa hivi hawana maeneo ya kuchezea nawaonea huruma sana utoto wao ni mgumu

Kuna mda mtu unatafuta hata eneo la kwenda kutuliza akili hamna kwa wale wanywaji wanalazimika kwenda bar

Kuna mda najiuliza hivi hatuoni umuhimu wa kuwa na public garden mfano wa yale maeneo ya jeshi yaliyotengwa

MIMI NIKIWA RAIS KUTAKUWA NA PUBLIC GARDEN, OPEN SPACE NA SPORT CENTRE SERIKALI YANGU ITAKUA TAYARI KULIPA WATU FIDIA ILI HAYO MAENEO YAWEZE KUTENGWA

Yale maeneo yaliyotengwa na serikali na kuchukuliwa kihuni yatarudishwa bila fidia uzuri mmoja ramani zipo labda zichomwe moto zote

Kuna mda najiuliza sisi waafrika na watanzania tuna-allergy na vitu vizuri kwa sababu watu hawajali kabisa


Waweza kuwa bora kuliko binti kiziwi.
 
Umeongea uchungu sana hapa kuwa

"Watoto wa sasa hivi hawana maeneo ya kuchezea nawaonea huruma sana utoto wao ni mgumu"

Kwa sababu hiyo ndio maana unaona ongezeko la mashoga na wasagaji cause hawana mda na utoto wao wana mda na mambo ya kikubwa tu at the end wanakuwa wakubwa tayali machoko
 
Kwa jiji la mwanza zipo open space na gardens.
  • Kemondo opp. Old BOT
  • Kamanga Bismark rock garden
  • Furahisha stadium
 
Miaka ya 90 kurudi nyuma open space zilikuwepo ila ghafla miaka ya 2000 kuelekea 2010's zikaanza kuota mbawa sasa hivi kwenye miji yetu hakuna public garden, open space na sport centre to be honest hali ni mbaya

Sehemu kama dsm hali ni mbaya zaidi sababu unaweza tembea km 10 hakuna open space, garden au sport centre kinachosaidia kwa mbali ni yale maeneo nguzo za umeme mkubwa wa taifa zinapopita hizo sehemu ndo zimesalimika

Watoto wa sasa hivi hawana maeneo ya kuchezea nawaonea huruma sana utoto wao ni mgumu

Kuna mda mtu unatafuta hata eneo la kwenda kutuliza akili hamna kwa wale wanywaji wanalazimika kwenda bar

Kuna mda najiuliza hivi hatuoni umuhimu wa kuwa na public garden mfano wa yale maeneo ya jeshi yaliyotengwa

MIMI NIKIWA RAIS KUTAKUWA NA PUBLIC GARDEN, OPEN SPACE NA SPORT CENTRE SERIKALI YANGU ITAKUA TAYARI KULIPA WATU FIDIA ILI HAYO MAENEO YAWEZE KUTENGWA

Yale maeneo yaliyotengwa na serikali na kuchukuliwa kihuni yatarudishwa bila fidia uzuri mmoja ramani zipo labda zichomwe moto zote

Kuna mda najiuliza sisi waafrika na watanzania tuna-allergy na vitu vizuri kwa sababu watu hawajali kabisa

Moja kati ya vitu navichukia kwenye majiji na miji yetu ni hilo ulilolisema, aisee huwa nakasirika sana kuona hakuna sehem ya kupmzika
 
Tazama jiji la windhoek namibia kama mbele mkuu, alaf uje dar ni huzuni, tatizo taasisi zetu ni dhaifu, tatito ni mfumo mbovu wa uongozi hata aje trump kw mfumo huu hakuna maendeleo.
 
Miaka ya 90 kurudi nyuma open space zilikuwepo ila ghafla miaka ya 2000 kuelekea 2010's zikaanza kuota mbawa sasa hivi kwenye miji yetu hakuna public garden, open space na sport centre to be honest hali ni mbaya

Sehemu kama dsm hali ni mbaya zaidi sababu unaweza tembea km 10 hakuna open space, garden au sport centre kinachosaidia kwa mbali ni yale maeneo nguzo za umeme mkubwa wa taifa zinapopita hizo sehemu ndo zimesalimika

Miji mingine midogo open space zipo ila ni kwa sababu miji haijakuwa siku kukiwa na ongezeko kubwa la watu zitaota mbawa

Watoto wa sasa hivi hawana maeneo ya kuchezea nawaonea huruma sana utoto wao ni mgumu

Kuna mda mtu unatafuta hata eneo la kwenda kutuliza akili hamna kwa wale wanywaji wanalazimika kwenda bar

Kuna mda najiuliza hivi hatuoni umuhimu wa kuwa na public garden mfano wa yale maeneo ya jeshi yaliyotengwa

MIMI NIKIWA RAIS KUTAKUWA NA PUBLIC GARDEN, OPEN SPACE NA SPORT CENTRE SERIKALI YANGU ITAKUA TAYARI KULIPA WATU FIDIA ILI HAYO MAENEO YAWEZE KUTENGWA

Yale maeneo yaliyotengwa na serikali na kuchukuliwa kihuni yatarudishwa bila fidia uzuri mmoja ramani zipo labda zichomwe moto zote

Kuna mda najiuliza sisi waafrika na watanzania tuna-allergy na vitu vizuri kwa sababu watu hawajali kabisa

Ukiweza kuja na mpango miji mizuri kwa nchi yetu nitakupigia kura ya urais.
 
Back
Top Bottom