The ice breaker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2023
- 1,119
- 2,430
- Thread starter
-
- #41
Better to die brokeWala si kuku huyo ktk ulimwengu wa rohoni bali ni zimwi/jini lenyewe litalokuwa linakuletea ukwasi hata kama hufanyi kazi.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Pambana, jiamini na chonga connections(networking) vilevile usikubali kukatishwa tamaa ya kwamba eti hauwezi kufikia ndoto zako bila kujali una ndoto kubwa kiasi gani, mabao mengine hutokea unexpectedly kikubwa uwe 'babarani' ukipambana.Nyumba ya ulithi nipo
Ununio imeungana na mbweni ila mbweni ni hatar nyingine mkuuUnunio umewahi pita?
wakiwa mbwinde huko wanaipambania ccm tukiwaambia kwamba ccm wezi hawaamini sa kapita mbweni leo tu anashangaa hujaenda bahari beach, masaki, kunduchi, ununio , kule bunju moga road na vitu kama hivyo, atajua kwanini hawa jamaa wako tayari kutoa roho ZA watu wao waendelee kuishi hayo maisha....Lukasi Mwashambwa mwenyewe siku ya kukanyaga masaki akirudi uyole anaacha upumbavu wote...Anyways ngoja nkusaidie majibu, Mkuu mbweni ndio CCM wale Grade ya kwanza wanakaa wale wapumbavu wanakuaga huku jukwaani wanapiga kelele na kububujikwa na machozi wanakaa vingunguti spenko shrimp la mavi....Weka picha. Siyo kila mtu kapita huko kama wewe
Hahahaha kwann mkuuKuna muda natamani niibebe kuileta Huku dar es salaam Tanzania NYUMBA yangu ya mkoaniii
Sawa,picha za hilo eneo hauna.Leta hata ulizochora kwa mkono.Aseee napita mitaa ya Mbweni ya huku ,
Ni noma sana, kuna mijengo mikali sio mchezo wazee.
Hivi hawa wenye mijengo wanatoa wapi hizi pesa ? Au sio watanzania
Yani sielewei kabisa
😂😂😂 Naskia Hadi mwenyekiti wao WA CHAMA ana hekalu pande hizo..Anyways ngoja nkusaidie mujibu, Mkuu mbweni ndio CCM wale Grade ya kwanza wanakaa wale wapumbavu wanakuaga huku jukwaani wanapiga kelele na kububujikwa na machozi wanakaa vingunguti spenko shrimp la mavi....
Mbwenizile bilioni ambazo CAG kila mwaka hua anasema zimepotea umewahi kujua hua zinapotelea wapi?
Hakika kule ni Nyumba za wabunge wakurugenzi na wafanyabiasharaUnaweza jihisi unaishi shimoni au pangoni
Ni kujipanga mkuu Nyumba nyingi kule zinacheza 300-1B+Ila tuacheni utani kuna watu wanakula hii nchi, naskia wenye nyumba Kali kule mbweni Wengiwao viongozi wakubwa
Mafisadi hao hahaaaAseee napita mitaa ya Mbweni ya huku ,
Ni noma sana, kuna mijengo mikali sio mchezo wazee.
Hivi hawa wenye mijengo wanatoa wapi hizi pesa ? Au sio watanzania
Yani sielewei kabisa
Ili uanze kuweweseka usikuPiga picha na sisi wa kazuramimba kigoma tuone
Kujipangeje Mzee , kuishi Maeneo hayo lazima uwe fisadiNi kujipanga mkuu Nyumba nyingi kule zinacheza 300-1B+
Sema Kuna vipande vya Mbweni na Mbezi beach Kuna Changamoto ya maji kutuama wakati wa mvuaShida ya ununio ipo kama kijichi.
Kuna mitaa ya kishua lakini Kuna mitaa ya kajamba nani. Hii ni tofauti na Mbweni ambako Kila mahali kumejengeka.
Alafu hii mitaa ya ununio uswahilini na kijichi uswahilini ni mitaa ya CCM na serikali za mitaa(kijichi CCM na ununuio mitaa ya ununio sirikali ya mtaa). Kuna namna hii nchi sisiem wanadumaza.
Vipi Kule Kibada Kigamboni,Kuna baadhi ya block pamejengwa haswaaaAseee napita mitaa ya Mbweni ya huku ,
Ni noma sana, kuna mijengo mikali sio mchezo wazee.
Hivi hawa wenye mijengo wanatoa wapi hizi pesa ? Au sio watanzania
Yani sielewei kabisa