Mijengo ya Mbweni

Mijengo ya Mbweni

Aseee napita mitaa ya Mbweni ya huku ,

Ni noma sana, kuna mijengo mikali sio mchezo wazee.

Hivi hawa wenye mijengo wanatoa wapi hizi pesa ? Au sio watanzania

Yani sielewei kabisa
😆😆😆😆😆😆😆
Samahani lakini, kwani wewe unaishi kitongoji gani?
 
Aseee napita mitaa ya Mbweni ya huku ,

Ni noma sana, kuna mijengo mikali sio mchezo wazee.

Hivi hawa wenye mijengo wanatoa wapi hizi pesa ? Au sio watanzania

Yani sielewei kabisa
Karibu huku Msumbiji nina kuku atakula mahindi yatayomwagwa chini, kila punje ya hindi huwakilisha mwaka mmoja utaokuwa na utajiri, akila mahindi 30 utakuwa umeupiga mwingi ila akila punje 1 ya mahindi tusilaumiane maana ni masharti ya utajiri.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Ununio umewahi pita?
Shida ya ununio ipo kama kijichi.

Kuna mitaa ya kishua lakini Kuna mitaa ya kajamba nani. Hii ni tofauti na Mbweni ambako Kila mahali kumejengeka.

Alafu hii mitaa ya ununio uswahilini na kijichi uswahilini ni mitaa ya CCM na serikali za mitaa(kijichi CCM na ununuio mitaa ya ununio sirikali ya mtaa).

Kuna namna hii nchi sisiem wanaibemenda.
 
Vingunguti
Dah....! Ndiyo umejenga huko au umepanga?
Samahani na-trespass lakini kuna 'picha naitafuta'.
Labda niseme hivi, si wote wenye mijengo ya thamani sehemu nzuri ni matajiri, kuna wanaopata a good catch na wakaiwekeza yote kwenye mjengo na wakaendelea na maisha yao ya kawaida. Hata wewe inaweza kukutokea kama uko focused, hakuna mtu 'fighter' ambaye hajakutana au hatakutana na mshiko so kama haijakufikia never give up.
 
Wewe kibwengo toka umuue baba yako umechangabyikiwa kabisa
 
Back
Top Bottom