Miili yetu hii ina mambo!

Miili yetu hii ina mambo!

SHIEKA

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
8,240
Reaction score
4,270
Mwanamama wa kimarekani Lizzie Velasquez alizaliwa mwaka 1989 akiwa na tatizo kubwa sana la mwili wake kukosa uwezo wa kuweka akiba ya mafuta. Hiyo ina maana kwamba hawezi kamwe kunenepa. Hali hii inamfanya aonekane kiumbe cha ajabu sana na wasiokuwa na huruma humcheka sana na kumdhihaki kwa kumpachika majina ya ajabu.

Baadhi wamempachika 'cheo' cha mwanamke mwenye sura mbaya kuliko zote duniani n.k.

attachment.php
attachment.php
attachment.php
 

Attachments

  • LIZIE1.jpg
    LIZIE1.jpg
    6.3 KB · Views: 3,286
  • LIZIE2.jpg
    LIZIE2.jpg
    7.2 KB · Views: 3,267
  • LIZIE3.jpg
    LIZIE3.jpg
    5.6 KB · Views: 3,258
Mbona mzuri jamani kila mtu amshukuru Mungu kwa jinsi alivyomuumba kwani ni neema tu..yy amejikubali na maisha yanaendelea. Tusithubutu kudhihaki kwa namna yoyote
 
Bila ya shaka Mungu anacho amemwekea kitu ambacho sisi wanadamu wenzake tunapaswa kujifunza kwa ajili ya umilele.
 
Huyu mwanamke ni mzuri sana kuliko hata wenye sura nzuri au maumbo mazuri, msikilize hapa akiongea kwenye TED uone alivyobarikiwa kuliko wanawake kibao tu. binafsi ananiinspire sana.

 
Last edited by a moderator:
Duh huyu ni binadamu wa ajabu sasa ngozi haigandamani na nyama...
 
Back
Top Bottom