SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,240
- 4,270
Mwanamama wa kimarekani Lizzie Velasquez alizaliwa mwaka 1989 akiwa na tatizo kubwa sana la mwili wake kukosa uwezo wa kuweka akiba ya mafuta. Hiyo ina maana kwamba hawezi kamwe kunenepa. Hali hii inamfanya aonekane kiumbe cha ajabu sana na wasiokuwa na huruma humcheka sana na kumdhihaki kwa kumpachika majina ya ajabu.
Baadhi wamempachika 'cheo' cha mwanamke mwenye sura mbaya kuliko zote duniani n.k.
Baadhi wamempachika 'cheo' cha mwanamke mwenye sura mbaya kuliko zote duniani n.k.