Miili yetu hii ina mambo!

Miili yetu hii ina mambo!

Mbona mzuri jamani kila mtu amshukuru Mungu kwa jinsi alivyomuumba kwani ni neema tu..yy amejikubali na maisha yanaendelea. Tusithubutu kudhihaki kwa namna yoyote
Na amejikubali sana fyika, kiasi kwamba anakodishwa kuzungumzia kujikubali kwenye maisha.Umbo lake halimfikirishi hata punje!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom