Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,913
- 10,719
- Thread starter
- #21
karibuHakuna ukweli wowote kwa yote uliyoyaandika.
karibuHakuna ukweli wowote kwa yote uliyoyaandika.
we unadhani rate ya vifo ni ndogo!?Kama hayo umeandika ni kweli, basi dunia ingebakia na watu wachache sana kwa rate ya vifo kuwa juu...
we unadhani rate ya vifo ni ndogo!?
Akiweka kinatokea Nini?Mambo ni mengi mengine ni kuyapuuzia.
Lakini inasemekana mwanamke mjamzito asiweke udogo wakati wa maziko.
karner ya 17 babu yako darubini aliuita uchawiMambo yaliyo andikwa hapa ni kama ushirikina tu hakika kufa kwa binadam kunatokana na mungu alimuumba sio sababu unazo eleza hapa ambzo zimejaa fikra zakishirikina
ushawahi sikia mazishi yamehairishwa?? ni balaaa ilo mvua ikinyesha linayafutwa turubai ili kaburi lisijae majiHivi kaburi likichimbwa likanyeshewa likawa na maji inakuaje tunaweka hivo hivo au tunaahirisha
Kuna dhehebu wanafurahi mwanzo mwisho hakuna kulia msibaniWajaluo wao wanapiga mziki siku za msiba


Litaje MkuuKuna dhehebu wanafurahi mwanzo mwisho hakuna kulia msibani![]()
Sijui maana mm mwenyewe sikuwa najua ila ni rafiki yangu ndiyo alifiwa na babu yake ndiyo nikaenda huwa hawalii wanacheza na kufurahi unapigwa na muziki wakutosha.Litaje Mkuu
Mimi sijuiAkiweka kinatokea Nini?
Ikiahirishwa inakuaje nini kinatokeàushawahi sikia mazishi yamehairishwa?? ni balaaa ilo mvua ikinyesha linayafutwa turubai ili kaburi lisijae maji
Hivi kaburi likichimbwa likanyeshewa likawa na maji inakuaje tunaweka hivo hivo au tunaahirisha